Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hiyo zamani unayozungumzia kulikua na michezo ya katuni, TV, kulikua


Ufirauni wakufirana umeanza lini???

Mungu aliiteleteza sodoma na gomora kwa sababu ya dhambi?? Si kufirana ???.


Zamani gani unayoisemea wewe.


NI HIVI ,DINI INATUSAIDIA KUPUNGUZA UOVU , NAKUNYOSHA NJIA YA MAISHA YA MWANADAMU, KWA KUMWONYESHA HUU NI UOVU..HUI NI WEMA.



KWAIVO NISEME..KWA NGUVU ZETU NA AKILI ZETU HATUWEZI

LAZIMA TURUDI KUMWAMBIA MUNGU, HAWA NI WATOTO WANGU, NINAWALETA KWAKO ,NAAHIDI KUWAFUNZA UKUU WAKO MUNGU BABA .



then kinachobaki ni kuendeleza hayo uloyasema.View attachment 1972903


Zamani ya mababu zako huko Sitimbi sio hao wazungu dini zilikuwepo?

Ili Mungu akusaidie timiza kwanza wajibu wako wa kuwalea watoto wako then atakupa direction. Sio unasali halafu huna muda wa kuwalea watoto hapo ni sawa na kumjaribu Mungu.

So wazazi wengi siku hizi hawana time na watoto kisa wapo busy na kuna wengine hawa kila siku wapo kwenye mikesha.

Jamii yetu leo ina tabia za ajabu ajabu sababu watu hawatimizi wajibu wao ndio maana watoto wa mtaani kibao, single mother kibao na mashoga kibao nk.

So Sali huku ukitimiza wajibu wako wa kulea kama mzazi.
 
Nakushauri uanze kuwasomea vitabu vya hadithi vya zamani maana bado kidogo tu utaona wanaingia na huko mf, mchezaji wa kiume anashangilia kwa kumpiga denda mwanaume mwenzie, na wanajua watoto wanapenda tom&jerry napo mda kidogo wataviingiza tu maana wanatumia kila mbinu jamii zivikubari na kuona hvyo vitu vya kawaida
Suala la hadithi huwa nalifanya ingawa huwa linanitesa Sana kwa maana madogo hawataki kulala mpaka niwahadithie. Saivi najipanga wakirudi likizo wakute shelf imejaa vitabu vya hadithi 😀🙌

Mpira wa miguu angalau ni mara chache hayo kutokea. Ila hiyo Spiderman itakuwa balaa kwa madogo manake ukiachana na katuni ya Tom & Jerry inafuata Spiderman then Mr Bean. Nijipange kuwa control na kuwa mkali nikiona wameweka hiyo Spiderman
 
Zamani ya mababu zako huko Sitimbi sio hao wazungu dini zilikuwepo?

Ili Mungu akusaidie timiza kwanza wajibu wako wa kuwalea watoto wako then atakupa direction. Sio unasali halafu huna muda wa kuwalea watoto hapo ni sawa na kumjaribu Mungu.

So wazazi wengi siku hizi hawana time na watoto kisa wapo busy na kuna wengine hawa kila siku wapo kwenye mikesha.

Jamii yetu leo ina tabia za ajabu ajabu sababu watu hawatimizi wajibu wao ndio maana watoto wa mtaani kibao, single mother kibao na mashoga kibao nk.

So Sali huku ukitimiza wajibu wako wa kulea kama mzazi.
Comment ya DHAHABU 😍
 
Absolutely....

Now a days there are bunches of animated- kid tv shows with LGBTQ+ characters.......

Ni jukumu letu wazazi kuwachagulia watoto nini na kipi cha kuona ...chini ya miaka 18 hakuna Uhuru uliopitiliza......

Ikiwa tu tunahangaika kuwatafutia maisha bora.....

Ikiwa tu tunajitahidi kuwawekea mfumo wa elimu nzuri kwa kuwapeleka shule nzuri TUNASHINDWAJE "kudevise measures" za kuwalea vyema kama waafrika na kama watu wenye hofu na dini zetu?!!!

TUCHUKUE HATUA


#SiempreJMT
 
Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Hakikisha hayo mambo hayamfikii mwanao, serikali haiwezi kuzuia hilo.
 
Katika suala ambalo serikali haiwezi kulipiga vita ni hili LA ushoga. Watafungia porn sites lakini kina James delicious wataendelea kujibebisha mitandaoni wazi wazi na serikali haina ubavu wa kuwastopisha.
Kila mtu apambane kivyake...
Serikali inaweza na halina excuse mbona Kenya waliweza hapa;
 
Kwahiyo kufundisha watoto ushoga ndio kitu cha maana kwako!!??

Mxiuuuuuu
Kama huwa unawafatiLia bbc swahiLi habari zao mara nyingi ni kuhusu ushoga ndo nlchomaanisha au huwafatiliagi ww

Nyambaaaaaaaaaafu
 
wapige marufuku na tamthilia za kifilipino. lazima ziwe na muigizaji mmoja shoga au msagaji.
 
Tupaze sauti kwa Dr Gwajima Waziri mwenye dhamana ya jinsia na watoto
Kiukweli sina muda wa kupinga kitu ambacho sina uwezo wa kubadilisha. Ushoga ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Mungu mwenyewe kashindwa (refer to sodoma na gomora) sembuse mie!
Am telling you the worse is coming..anayetaka kuwa shoga let him/her be. Am only responsible to myself.
 
Wafiraji wakubwa nchini viongozi wa serikali na wafungwa jela, walimu wa shule/madrasa na Sunday school. Kwakweli ukiangalia mitandaoni watu wanakulana tigo kama mbususu shenzi mamaza..o.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
[emoji1751]
 
Hivi kwanini watu mnaamini Wazungu wanafanya hizo vitu ili kupandikiza ushoga kwa Waafrika?!

99% ya wachangiaji, hizo movies mnaziiba tu... sasa how come mnadhani target yao ni nyie?!!

Leo hii vijana wa Saudi Arabia waanze kuingiza nyama ya kitimoto kwa njia za panya kutoka Ulaya au America!!

Hivi Wasaudia si wataonekana wehu wakisema Wakristo wanataka kuwazowesha vijana wao kula kiti moto?
 
Hiyo zamani unayozungumzia kulikua na michezo ya katuni, TV, kulikua


Ufirauni wakufirana umeanza lini???

Mungu aliiteleteza sodoma na gomora kwa sababu ya dhambi?? Si kufirana ???.


Zamani gani unayoisemea wewe.


NI HIVI ,DINI INATUSAIDIA KUPUNGUZA UOVU , NAKUNYOSHA NJIA YA MAISHA YA MWANADAMU, KWA KUMWONYESHA HUU NI UOVU..HUI NI WEMA.



KWAIVO NISEME..KWA NGUVU ZETU NA AKILI ZETU HATUWEZI

LAZIMA TURUDI KUMWAMBIA MUNGU, HAWA NI WATOTO WANGU, NINAWALETA KWAKO ,NAAHIDI KUWAFUNZA UKUU WAKO MUNGU BABA .



then kinachobaki ni kuendeleza hayo uloyasema.View attachment 1972903
acha ujinga ww umekazana hapa kutetea hizo dini usizojua chanzo chake ni kipi, izo dini kwa taarifa yako zmeanza miaka ya juzi tu,ukristo umezaliwa miaka ya 325A.D ktk mkutano wa nincaea chini ya viongoz wa kirum baada ya kukopi hadithi za mashujaa wa afrika na kubadiri ukweli kuwa dini ,
na uo uislam ni juzi tu nao ni tawi la ukatoric uliozaliwa miaka ya 600A.D kupitia stori zile zile za kirumi kwa kuzichanganya na mila&desturi za waarabu wa kipindi kile.

kwaiyo dini hazina maana wala msaada wowote kwa kuokoa kizaz.

kama hujui hizo dini ndizo wafaziri wa uo ushenzi nyuma ya pazia, hizo dini ndizo hufadhiri makundi ya watetez wa haki za hovyo hovyo, hata izo shule za seminari ambazo huwafunza watoto upuuzi ni zao na ukatoric ndyo hucontrol mambo ya imani&ustaarabu wa dunia kupitia mashirika yake ya kimataifa ikiwepo madhehebu ya dini zote na mashirika yote ya misaada.

kama mambo huyajui ni bora ukauliza, alafu habar za Sodoma na gomora kama huzijui nje ya maandiko uliyoaminishwa ni bora ukauliza, leo hii naweza kukuuliza utuoneshe ilo tukio la sodoma lilitokea lini, wapi, mwaka gani kwa ushahidi wa historia tu, najua hotoonesha maana hujui kitu.

stori nyingi za biblia na quran ni uongo, hazina ukweli, na kama zina ukweli, bas acha ziwe kweli maana zinawahusu wao na dini zao na miungu yao inayowaadhibu wakikosea,

mfano ktk biblia iyo stori ya sodoma inawahusu watu wa jamii ya white race (kipindi cha rutu kabla ya uzaowa mtu mweusi kutoke kwa nam kwa mujibu wa dini zao), ambao walikisili kwenye matendo ya hovyo, na huyo Mungu wao akawahukumu kwa moto.

kwaiyo hayakuwahusu watu weusi maana matukio yaliwakumbwa watu jamii hiyo kwa mujibu wa biblia, maana biblia inawaongelea na imebase kwa hao watu weupe wala sio mtu mweusi, na mtu mweusi hajatajwa sehem yoyote kuwa ni chukizo ama muaribifu ktk dunia hii,

kwahiyo mambo ya uaribifu yoote chanzo ni mtu mweupe ma dini zake, unapojiona mjuaji wa maandiko na dini ujue kuwa kuna watu tunazijua dini zaid yako, tumezaliwa kwenye dini, tumesoma dini, na tukaachana na dini baada ya akili kufunguka, watumwa wa akili bado mtazidi kuona dini ni msaada kwnu,

msaada wa kwel ni kuirudia asili ya Africa, afrika hakujawai kuwa na ushenzi wa aina hiyo, mtu mweuepe(alien) ndye chanzo cha uharibifu haya mambo nishayaongelea sana, lkn watu weusi vichwa ngumu kuelewa ukweli

mimi kihistoria naweza kukutajia uwepo wa Afrikaans 10000 kabla hata ya stori za biblia na quran kuwepo, inamaanisha kuwa mtu mweusi yupo kabla ya Mumgu wa dini, na mtu mweusi aliishi kabl ya historia za dini kuhisu uumbaji kuwepo, na kumalizia ni kuwa mtu mweusi ndye Mungu maana shahidi znaonesha mabaki ya watu weusi kuish zaid ya miaka million, na hadithi za biblia znaongelea miaka 6000b.c + 2000A.D ni almost 8000years ya uwepo wa stori za dini na miungu yake

Acheni kuabudu utamaduni wa watu weupe
acheni kushikiria mafundsho potofu ya wageni.
 
Back
Top Bottom