Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Kwanza kaa ukijua kanisa katoliki limepita katika changamoto mbalimbali na nyingi kuliko unavyodhani,
Pili, kanisa haliwezi kubadili taratibu zake eti ili kuendana na usasa, never ever.
Tatu, kama umekwazwa hama kanisa, huko utakakokeenda hakutakuwa na changamoto maana hao si binadamu kama sisi.
Nne, hujui chochote juu ya kitubio ....so you better keep your ignorance to yourself.
Pili, kanisa haliwezi kubadili taratibu zake eti ili kuendana na usasa, never ever.
Tatu, kama umekwazwa hama kanisa, huko utakakokeenda hakutakuwa na changamoto maana hao si binadamu kama sisi.
Nne, hujui chochote juu ya kitubio ....so you better keep your ignorance to yourself.