HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Kwani hii dini yenu haiendi na wakati?

Kumbe na yenyewe inabadilika mura unavyoenda kama vifungu vya katiba?

Ni wakati sasa muse na rasimu yenu kama ya warioba kubadilisha taratibu za dni yenu
 
Wewe hujui unachokiongea mkuu, tena usinitake niongee nitamwaga kila ushenzi unaofanyika kule utashikwa na aibu

Wewe jamaa bana unamtisha nani bado hujakomaa kiimani tambua padre/watawa ni binadamu kama wewe wanaingia dhambini jiulize kabla ya kuwananga humu umewaombea mara ngapi
 
Wewe jamaa bana unamtisha nani bado hujakomaa kiimani tambua padre/watawa ni binadamu kama wewe wanaingia dhambini jiulize kabla ya kuwananga humu umewaombea mara ngapi
Sijawananga mkuu, ila nashukuru kueleza ukweli kwamba wao pia ni watenda dhambi wakubwa lakini wanatuungamisha yaan mchafu anamsafisha mchafu kwa uchafu kisha wote wanaendelea kua wachafu

Sorry for this comment usikunje sura..
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.

Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.

Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.

Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?

Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe

Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Unaonaje ukwaambia na Waislam waache kupeleka watoto wao Madrasa maana kuna waalimu wa madrasa wanaolawiti watoto.
Kosa la Padri kuwa mlawiti ni sawa na mwalimu wa madrasa kulawiti wanafunzi wake.
Njoo na mbadala wa namna ya kuondoa hili tatizo na sio kushambulia Imani ya watu wengine.
 
Mi
Na sisi wakatoliki hatuna shida.

Hakuna dhambi ambayo itakua Ngumu kutubu, kwani Dhambi ni kuvunja kusudi Amri ya Mungu au kanisa.

Mfano ukisema nilizini Unadhani padre atakuuliza na nani?

Na sidhani kama wewe ni mkatoliki, ungekuwa Mkatoliki Ungeelewa kuwa sakrament ya kitubio iliwekwaje wekwaje.
Mimi ni mkatoliki nina shida na hilo.
Mantiki ya kuungama mbele ya padri ni nini?
Nikisema na Mungu kwa habari ya toba pamoja na kuwaomba msamaha niliowakosea au kurudisha nilichoiba sitasamehewa?
 
Mi
Mimi ni mkatoliki nina shida na hilo.
Mantiki ya kuungama mbele ya padri ni nini?
Nikisema na Mungu kwa habari ya toba pamoja na kuwaomba msamaha niliowakosea au kurudisha nilichoiba sitasamehewa?
We si mkatoliki......
Na labda mkatoliki jina.
Biblia ipo clear kkabisa kwenye hili....
 
Kwanza ulichoandika ni mtizamo wako binafsi, kanisa katoliki haliwezi kubadilishwa na mtazamo wa mtu au watu. Kwanza watu hawangumi kwa padre wanaungama kwa Mungu. Padre ni mshuhudiaji tu wa ungamo ambalo hufanywa na mtu mwenyewe. na Wala siye anayeondoa dhambi, anyeondoa dhambi ni Mungu.

Pili hujui chochote kuhusu sakarament ya kitubio ndio maana umeandika ulichoandika. Ulichoandika sicho kinachofanyika kwa maneno mengineni hujui Theology of sacrament.

Tatu Kuna option ya kwenda makanisa mengine ambayo hayaungami kwa padre itumie hii itakusaidia.
 
Mi
Mimi ni mkatoliki nina shida na hilo.
Mantiki ya kuungama mbele ya padri ni nini?
Nikisema na Mungu kwa habari ya toba pamoja na kuwaomba msamaha niliowakosea au kurudisha nilichoiba sitasamehewa?
Acheni ujuaji kulichafua kanisa,
Lazima mwanaume kuwa na msimamo mnajifanya ooh mm n mkatoliki sasa wewe kama unanaona kanisa halikufai si unajiondoa tu madhehebu yapo kibao?
Hakuna anayekulazimisha kuwa mkatoliki .
 
kwani kutubu ni kumuabudu binadamu tena[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]....ukiwa na philosophy, psychology, bible knowledge, na vingine itakusaidia sana kujudge hivi vitu..ila kama una engineering itakupa shida

Biblia gani inasema nikatubie kwa kiongozi wa dini..

Yesu yupo alibeba na anaendelea kubeba dhambi zetu.
Toba ya kweli Ni ya mdhambi na Mungu na sio kumhusisha kiongozi
 
Pentecostal and born again churches zinafanya Ukatoliki kua dini outdated vijana wengi na wanawake wamakamu wote wanahama Katoliki kuenda ulokole, hizo dini ni pingo kumbwa kwa uhafidhina wa katoliki in 50yrs Ukatoliki utapungua sana au utabadili jinsi ya kuendesha ibaada zao na kuacha baadhi ya misimamo yao.
Pole.
 
Kwa hali ya sasa unaweza kutubu kwa Mbakaji watoto. Yaani mtu mhalifu kupita wewe.

Kuungama kumepitwa na wakati kabisa.
 
Na sisi wakatoliki hatuna shida.

Hakuna dhambi ambayo itakua Ngumu kutubu, kwani Dhambi ni kuvunja kusudi Amri ya Mungu au kanisa.

Mfano ukisema nilizini Unadhani padre atakuuliza na nani?

Na sidhani kama wewe ni mkatoliki, ungekuwa Mkatoliki Ungeelewa kuwa sakrament ya kitubio iliwekwaje wekwaje.
Safi Kabisa.Huyu mtoa uzi anadhani Sakramenti ya Kitubio ni km Sera za Wanasiasa ambazo wanaweza kuendeleza au kuzibadilisha muda wowote.
 
Samahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli

Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari.

Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end.

Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu.

Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani.

Niliona nini? Hio ni Siri yangu.

Najua hii huwezi kusema uliona nini??coz humo ndani kuna mambo ya ajabu sanaaaa,nakuomba usiseme coz kila mtu aendelee na imani yake !!
 
Samahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli

Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari.

Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end.

Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu.

Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani.

Niliona nini? Hio ni Siri yangu.
Wanafiki hamuishagi.Hii ni gia ya Wengi wanaouchukia Ukatoliki,stori kama hii au inayofanana na hii wewe ni kichwa cha ishirini,na nikijaribu kufutilia kiundani huwa nakuta Si Kweli bali ni Propaganda chafu ili kuchafua Kanisa Katoliki.
 
Kanisa Katoliki kufa ni ndoto za mchana.

Makanisa mengi yalikuja na kuondoka, lakini lenyewe mpaka leo karne na karne lipo.

Hata Paulo na Petro mifupa yao iliyolala pale Vatican ukiwaambia kanisa la Roma litakufa watakushangaa.

Very vingine tuwe tu realistic.
Umeona eenhh?!.Yaani kosa la mtu fulani lisababishe Kanisa kufa,Kweli?!!.
 
Hii si ndo ile dini ambayo walitaka kumpa mchawi nyerere utakatifu???
 
Back
Top Bottom