Bado ukipeleka hoja yako kwenye context pana lina-fit.
Imani haiambatani na Logic hata kidogo. And this is fact.
Ukiweka logic kwenye imani utakuwa atheist in seconds.
Kanisa katoliki au waislamu wanaamini katika misingi yao ya kiimani, na katika kanisa katoliki as far as I know wanaamini katika kuungama kwa dhambi. Hii ni sehemu ya imani yao.
A point of contention ni padre, ok, tumweke huyo padre ambaye anashiriki kwenye hiyo process ya kitubio out of the equation, na tu-deal na Mungu mwenyewe.
Atheist atakuja na kuuliza, inakuwaje kama muumini unaomba uondolewe dhambi na Mungu ambaye hata sura yake huijui, na hajawahi onekana na binadamu yoyote, na hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa yupo? From a logical point of view atakuwa very correct, lakini ukienda kwenye hoja ya kiimani anaweza asiwe sahihi sana.
Watu wote wanaoamini katika Mungu kama wakatoliki watatetea uwepo wa Mungu kama swala la kiimani, na wakishasema ni swala la kiimani huwezi pata a logical answer, Never.
With regard to this question, wakatoliki watasema kuungama kupitia padre ni swala la imani yao, na wakiingia katika imani, manake hakuna logical answer.