Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
Hivi padre yeye hana dhambi? Ana tubu wapi? Au ana tubu online?
anaungama pia kwa padre wenzake...yeye ni binadamu tu kama wengine...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi padre yeye hana dhambi? Ana tubu wapi? Au ana tubu online?
Ndo maana nimekwambia be specific, lakini bado unaandika kama mkalia magunia ya karoti.
Alafu mbona unaandika maneno mengi kama jinsi B.
Jinsi A huwa direct to the point.
Unaandika mlolongo wa pumba hata kuweka paragraph na vituo hujui, huko shule ulienda kuuza maandazi?
Peter na Paul walizikwa wapi? Na citation plz.
*Lakini wakati unajibu ukumbuke kwamba huna akili.
Wewe ulishazuia nisiandike natunga uongo sasa unaniambiaje niendelee, mkuu unajua unachokiandika lakini au unaandika ili uonekane na wewe umeandika?
Ndugu yangu umeelewa mada?
Mada ni kama kuna mantiki ya kuendelea na utaratibu wa mkatoliki kutubu mbele ya Padri wakati mapadri wengi wana sifa mbaya, wasiotunza siri nk
Mkuu definition ya imani.
Ni kuwa na uhakika wa jambo bila kuwa na ushahidi.
Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?[emoji3064][emoji2827][emoji848]Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.
Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.
Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.
Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?
Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe
Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Nafsi yanguNini kilikufanya kuacha kuungama mbele ya Padri?
Wengi wanaotubu na kuungama ni kinjenje tu kwani kwa ndani wanajua hawataki na hawana nia ya kuachana dhambi hizoTubu fanya Sakramenti ya kitubio pokea ekaristi takatifu hudhuria misa na uache dhambi.
Ilipigwa pipe??Samahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli
Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari
Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end
Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu
Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani
Niliona nini? Hio ni Siri yangu..
1-Are you God? Kuweza kujua wanaoenda kwa padre wanaungama kinjenje.Wengi wanaotubu na kuungama ni kinjenje tu kwani kwa ndani wanajua hawataki na hawana nia ya kuachana dhambi hizo
Post yako haina maana bora ungekaa kimyaSamahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli
Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari
Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end
Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu
Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani
Niliona nini? Hio ni Siri yangu..
This is Philosophy 101 - Logic and Reasoning.[emoji23][emoji1787][emoji23]sasa kama wakatoliki wana imani ya kuwa na msimamizi katika kutubu kwanini unawapinga? au unaushahidi kwamba hawasamehewi?
watakuambia...fuata maneno yangu,usifuate matendo yangu!Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.
Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.
Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.
Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?
Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe
Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Mwalimu wangu alinifundisha hv,Post yako haina maana bora ungekaa kimya
Unafikri huko kwako wako salama? Mara ngapi wachungaji nao wanalamba asali? Kikubwa tuunganishe nguvu ya kupambana na haya maadili yaliyolegea! Pumbavu!hao jamaa wa hiyo imani ukiwashauri hata uwe mkristo mwenzao,wao hasira zao wanamalizia kutukana uislamu na Waislamu,watakuambia mara wavaa kobazi, Mara vipedo,
Cha msingi Ni kuwaacha tu hao viongozi wao wa dini wawafffire watoto zao na wake zao, pumbavu,
Mimi mkuu sijawapinga...ninataka kujua Logic ndani ya imani yao.[emoji23][emoji1787][emoji23]sasa kama wakatoliki wana imani ya kuwa na msimamizi katika kutubu kwanini unawapinga? au unaushahidi kwamba hawasamehewi?