HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Ndo maana nimekwambia be specific, lakini bado unaandika kama mkalia magunia ya karoti.

Alafu mbona unaandika maneno mengi kama jinsi B.

Jinsi A huwa direct to the point.

Unaandika mlolongo wa pumba hata kuweka paragraph na vituo hujui, huko shule ulienda kuuza maandazi?

Peter na Paul walizikwa wapi? Na citation plz.


*Lakini wakati unajibu ukumbuke kwamba huna akili.

mkuu unapobishana na mtu angalia na uwezo wa kukusanya fact zake...huyu mtu hana fact na hajui anachoandika na hajui kuandika vilevile...pumzika utatumia energy nyingi
 
Wewe ulishazuia nisiandike natunga uongo sasa unaniambiaje niendelee, mkuu unajua unachokiandika lakini au unaandika ili uonekane na wewe umeandika?

wewe oblongata inabidi kwanza utuambie umri wako, na wasiwasi na fact zako unavyoziandika, hivi kweli wewe kuna mtu anaeza kukuzuia kuandika kitu na ukaacha na haumjui wala kwa sura na wala kwa jina??? [emoji23][emoji1787][emoji1787] na story yako naifatilia haieleweki... bhas natafuta hata ujumbe unaoleta au fact sioni, me napata mashaka na either brain yako hio oblangata au umri wako
 
Ndugu yangu umeelewa mada?
Mada ni kama kuna mantiki ya kuendelea na utaratibu wa mkatoliki kutubu mbele ya Padri wakati mapadri wengi wana sifa mbaya, wasiotunza siri nk

unajua wewe unachokosea ni kuweka mapadre wengi...kwanini uannsema mapadre wengi na kwa statistics zipi unauhakika mapadre waovu ni wengi kulko watenda mema? na unajua taratibu za padre akitaka kuungamisha wanafanya nini?
 
datz toa report kwa Moderator anipige ban ili ufurahi sawa don't do like this 😡 only haitakusadia kitu hata uchukie kilichosemwa kimeshasemwa pasuka tu
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.

Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.

Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.

Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?

Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe

Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?[emoji3064][emoji2827][emoji848]
Unaenda kutubu kwa mtu aliyekula akashiba halafu hana mke wala hana stress!
 
Tubu fanya Sakramenti ya kitubio pokea ekaristi takatifu hudhuria misa na uache dhambi.
Wengi wanaotubu na kuungama ni kinjenje tu kwani kwa ndani wanajua hawataki na hawana nia ya kuachana dhambi hizo
 
Samahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli

Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari

Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end

Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu

Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani

Niliona nini? Hio ni Siri yangu..
Ilipigwa pipe??
 
Wengi wanaotubu na kuungama ni kinjenje tu kwani kwa ndani wanajua hawataki na hawana nia ya kuachana dhambi hizo
1-Are you God? Kuweza kujua wanaoenda kwa padre wanaungama kinjenje.
2-Anayeungama bila padre ndo huwa harudii tena dhambi sababu anakuwa na nia thabiti?

*Doesn't make sense.
 
Samahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli

Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari

Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end

Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu

Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani

Niliona nini? Hio ni Siri yangu..
Post yako haina maana bora ungekaa kimya
 
[emoji23][emoji1787][emoji23]sasa kama wakatoliki wana imani ya kuwa na msimamizi katika kutubu kwanini unawapinga? au unaushahidi kwamba hawasamehewi?
This is Philosophy 101 - Logic and Reasoning.

Watu wengi wanaunda hoja bila kujua end point ni nini, na ku-foresee mjadala au argument flow.

Inshort, endpoint ya huu mjadala ni IMANI. Na hakuna mwenye uwezo wa ku-challenge imani kwa total logic. Mtu akii-challenge IMANI lazima akubaliane na kugusa source ya hiyo IMANI ambayo ni kusikia habari za MUNGU, and then the qns comes, who is GOD?
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.

Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.

Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.

Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?

Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe

Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
watakuambia...fuata maneno yangu,usifuate matendo yangu!
 
Post yako haina maana bora ungekaa kimya
Mwalimu wangu alinifundisha hv,

-Best students huwa wanajibu maswali kwa kifupi and on point.

-Makanjanja huandika msaafu wa paragraphs ambao ukisoma kiundani ni guessing, confusions, and no clarity. Huandika maneno mengi wakiamini katika hayo kuna limoja linaweza kuwa on point.
 
Kwa mujibu wa jariba la The Economist la September, 2022 Kanisa Katoliki ndio Taasisi kubwa kuliko zote duniani na inasemekana kama wakiuza mali zao zote na kuchukua fedha Dunia itafirisika
 
hao jamaa wa hiyo imani ukiwashauri hata uwe mkristo mwenzao,wao hasira zao wanamalizia kutukana uislamu na Waislamu,watakuambia mara wavaa kobazi, Mara vipedo,

Cha msingi Ni kuwaacha tu hao viongozi wao wa dini wawafffire watoto zao na wake zao, pumbavu,
Unafikri huko kwako wako salama? Mara ngapi wachungaji nao wanalamba asali? Kikubwa tuunganishe nguvu ya kupambana na haya maadili yaliyolegea! Pumbavu!
 
[emoji23][emoji1787][emoji23]sasa kama wakatoliki wana imani ya kuwa na msimamizi katika kutubu kwanini unawapinga? au unaushahidi kwamba hawasamehewi?
Mimi mkuu sijawapinga...ninataka kujua Logic ndani ya imani yao.
Sio eti kwakuwa imani haina ushahidi ndio ikose na Logic.
Yani mfano. unaamini Hili Jiwe linatibu kisukari
Halafu hapohapo unaamini kisukari hakina dawa. Sasa mtu anaweza asihoji kuhusu imani ya ilo jiwe kutibu lakini lazima kuhoji kuhusu logic behind hizo imani mbili ambazo ni incompatible.

Maana kama mtu anaamini kuna anaamini Mungu anaweza kila kitu na hapohapo anahitaji usimamizi ili asamehe dhambi basi nlikuwa nataka kujua tu huo usimamizi unafanyaje kazi na Mungu anautumiaje/anauhitajije?ina maana bila huo udalali wa kati hapo Mungu hawezi kusamehe?Mungu anahitaji kusaidiwa na kusimamiwa?

Na ipi ni kazi hasa ya huyo msimamizi?
Anasimamia nini? Na anasimamiaje?
 
Back
Top Bottom