HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Wanafiki hamuishagi.Hii ni gia ya Wengi wanaouchukia Ukatoliki,stori kama hii au inayofanana na hii wewe ni kichwa cha ishirini,na nikijaribu kufutilia kiundani huwa nakuta Si Kweli bali ni Propaganda chafu ili kuchafua Kanisa Katoliki.
Sawa mkuu Asante kwa maoni yako,
 
Na sisi wakatoliki hatuna shida.

Hakuna dhambi ambayo itakua Ngumu kutubu, kwani Dhambi ni kuvunja kusudi Amri ya Mungu au kanisa.

Mfano ukisema nilizini Unadhani padre atakuuliza na nani?

Na sidhani kama wewe ni mkatoliki, ungekuwa Mkatoliki Ungeelewa kuwa sakrament ya kitubio iliwekwaje wekwaje.
Tatizo ni pale mtoto alipomweleza Padre huko Moshi kuwa alizini, Padre kambania ukutani, kamvua Chupi na kumkaza. Hii ina maana Padre alijua kuwa huyu anayajua ingawa ana miaka 12. Kama yule mtoto asingemwambia Padre kuwa AMEZINI asingeweza kumbaka. Hii ndilo tatizo la kuungama
 
Wakatoliki unaweza ukawaponda weweeeee tukabaki tunakuangalia

Hatunaga shida na mtu.

Siwezi nikajiita mlokole halafu baadaye nakunywa pombe kwa kujificha.

Tumsifu Yesu Kristo
Ni kweli hatunaga shida na mtu. Ila tukiachana na hayo maovu ya mapadri yaliyotajwa hapo huu utaratibu wa kuungama dhambi unashangaza...haupo sawa hata kidogo.
 
Samahani kwa ntakayoyasema hapa hii inanihusu na nasema ukweli

Nakumbuka kuna kipindi nilikua napenda sana masuala ya upadre hususani ubraza na yale maisha ya utawa vile mapadri wanavyoishi yaan nilikua napenda sana ilinivutia kuona wale mabraza jinsi wanavyovaa na kupendeza zile nguo zao za kimisionari.

Basi nikaenda kuomba kuanza kujifunza kusimamia kanisani pale mbele, enzi hizo nakumbuka nilikua mdogo sana nilikua km na miaka 7/8 hivi nilimwambia mzee mimi napenda sana kuhudumia kanisani mzee akakubari ila kipindi hicho mzee alikua busy sana kukaa nae mezani ilikua imezidi sana dakika 5 yeye ni mtu wa kazi na kazi na yeye muda wa kukaa na sisi labda wiki end.

Basi nikapeleka barua kwenye jumuiya kutoka kanisani ikaenda ikasainiwa na mwenyekiti safi nikarudisha kanisani nikaanza mafundisho ya kutumikia, I am telling you niliweza kuhudhulia wiki moja tu narudia tena nilihudhulia mafunzo ya kutumikia wiki moja tu baada ya hapo nilikaa pembeni mwenyewe yaani niliacha mwenyewe bila kulazimishwa na mtu.

Mzee aliponiona sihudhurii tena yale mafundisho akaanza kunihoji vipi mboni hauendi tena kujifunza kutumikia kanisani, umeacha? Nikamwambia mzee nimegairisha sitaki tena kusikia habari za kutumikia kanisani, kuanzia hapo nikaanza kuchukia zile habari za kutumikia na wale mabraza pamoja na wale wanaotumikia kanisani nikawa siwakubari tena km jinsi nilivyokua nawakubari pale mwanzo kabla sijajiunga na mafundisho ya kutumikia kanisani.

Niliona nini? Hio ni Siri yangu.
Nakumbuka 1998 watoto wangu walikuwa wanapenda kutumikia! Na wakawa wananieleza jinsi Paroko alivyo rafiki kwao. Ilibidi nimwendee Paroko baada ya misa na kumuonya kuwa akiwagusa wanangu, nitajichukulia sheria mkononi. Nikamweleza jinsi wasivyoaminika. Na kila wakati nilikuwa nawaeleza haya masuala na kuwakataza kwenda kwa Padre nyumbani kwake. Kila mara Padre alikuwa akiniangalia kwa jicho baya.


Ni ujinga kwenda kuungama kwa Padre!!!! Ungama nyumbani mwako maana hawaaminiki. Ukimwona Padre anakutembelea kwako jua anasololea mabinti zako au mkeo.
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.

Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.

Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.

Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?

Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe.

Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Umewahi kwenda kutubu kwa padre?
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.

Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.

Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.

Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?

Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe.

Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Uko sahihi sana,
 
Nakumbuka 1998

Ni ujinga kwenda kuungama kwa Padre!!!! Ungama nyumbani mwako maana hawaaminiki.
Dhambi yako ni suala lako binafsi wakati unapanga kuitenda na wakati unaitekeleza. Ukishamaliza siyo yako tena, inatangazwa duniani na mbinguni kuwa kolola ameasi, na unatupwa nje.
Lakini kwa wema wake, Kristu aliwavuvia mitume roho wake na akawapa uwezo wa kuondolea watu dhambi (Yn 20:23), kumbuka ni kuwaondolea watu dhambi siyo kujiondolea wenyewe.
 
Kwa hali ya sasa unaweza kutubu kwa Mbakaji watoto. Yaani mtu mhalifu kupita wewe.

Kuungama kumepitwa na wakati kabisa.
Tatizo lako ni kudhani kiongozi wa dini ni mtakatifu kuzidi wewe. Kwamba mchungaji wako ni super human, hatendi dhambi.
Ukisoma waebrania 5:3 inaonyesha kuhani ni mtu dhaifu, ambaye kapewa neema ya kutolea matoleo ya dhambi zake na dhambi za wenzake. Huyo wa kwako mkamilifu mtafute makanisa yote hutampata.
 
Dhambi yako ni suala lako binafsi wakati unapanga kuitenda na wakati unaitekeleza. Ukishamaliza siyo yako tena, inatangazwa duniani na mbinguni kuwa kolola ameasi, na unatupwa nje.
Lakini kwa wema wake, Kristu aliwavuvia mitume roho wake na akawapa uwezo wa kuondolea watu dhambi (Yn 20:23), kumbuka ni kuwaondolea watu dhambi siyo kujiondolea wenyewe.
Acha upuuzi, kwenda kwa padre ati ukatubu ni uhayawani
 
Acha upuuzi, kwenda kwa padre ati ukatubu ni uhayawani
Kama unaamua kujipangia mwenyewe mambo ya Mungu basi u mshindani wake, lakini kama unatambua we ni kiumbe wake dhaifu tii maagizo yake
 
Tatizo ni pale mtoto alipomweleza Padre huko Moshi kuwa alizini, Padre kambania ukutani, kamvua Chupi na kumkaza. Hii ina maana Padre alijua kuwa huyu anayajua ingawa ana miaka 12. Kama yule mtoto asingemwambia Padre kuwa AMEZINI asingeweza kumbaka. Hii ndilo tatizo la kuungama
Ni tatizo la kuungama au ni tatizo la padre?
Kwamba huko Moshi wanaungama mafichoni?
Hakukuwa na watu wengine wanaosubiri kuungama ( sijafuatilia hili sakata)

Anayeungama anaonana Sura moja kwa moja na padre?
Itabidi nilifuatilie hili suala labda halipo kama nilivyolichukulia ( nimelichukulia kama ni ushenzi wa padre ).

Sioni tatizo kwenye Kuungama....
Tumekua tukiungama.
Na Ulawiti/ Ubakaji hauhusiani na Kuungama ni Tabia tu ya mtu.

Maana hivo vitendo hufanywa pia na wajomba, tuseme watoto wasikae na wajomba watawabaka?

Hufanya pia na maustadh, tuseme madrssa hazifai watawabaka?

Hufanywa na walimu, tuseme Elimu hazifai?

Ni tatizo binafsi la mtu/ Makanisa yahakikishe watumishi hawa wanakuwa waadilifi kwa viapo vyao.
 
Umemaliza naona unafoka sana, kama wewe ni mromani/Rc inabidi upate mafunzo ya komunio ya kwanza tena bado unayumba kiimani.
Yaani, sio RC au kama alikua ila amehama sasa anatafuta faraja...


Japo siendi kanisani, ila makanisa mengine wanapata tabu na sisi ila sisi huwa hatupati tabu nao wala kuanzisha uzi...wanajiona inferior...inawatesa pole zao
 
Ni tatizo la kuungama au ni tatizo la padre?
Kwamba huko Moshi wanaungama mafichoni?
Hakukuwa na watu wengine wanaosubiri kuungama ( sijafuatilia hili sakata)

Anayeungama anaonana Sura moja kwa moja na padre?
Itabidi nilifuatilie hili suala labda halipo kama nilivyolichukulia ( nimelichukulia kama ni ushenzi wa padre ).

Sioni tatizo kwenye Kuungama....
Tumekua tukiungama.
Na Ulawiti/ Ubakaji hauhusiani na Kuungama ni Tabia tu ya mtu.

Maana hivo vitendo hufanywa pia na wajomba, tuseme watoto wasikae na wajomba watawabaka?

Hufanya pia na maustadh, tuseme madrssa hazifai watawabaka?

Hufanywa na walimu, tuseme Elimu hazifai?

Ni tatizo binafsi la mtu/ Makanisa yahakikishe watumishi hawa wanakuwa waadilifi kwa viapo vyao.
Bila utafiti Huna haki ya kuongea! Kitu hujui , unajadili nini?
 
Back
Top Bottom