Inashangaza, kwamba padri anakuondolea dhambiiKwahyo wakuu mkishamuambia padri yeye ndo anaenda kumwambia mungu au?
Kwamba MUNGU anaitaji usaidizi wa ushaidi toka kwa mwanadam!Kama lengo lako ni kujifunza;
Padre anasimama kama shahidi/kuhani mimi muumini ninapokuwa pale ktk jicho la imani inanipasa nijenge taswira kwamba nipo mbele ya mtumishi wa Mungu asiye na shaka.rejea andiko la injili Yesu alipompa Mtume Petro mamlaka kwa kumwambia
βLOLOTE UTAKALOLIFUNGA DUNIANI NA MBINGUNI LITAKUWA LIMEFUNGWA NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGUA DUNIANI NA MBINGUNI LITAKUWA LIMEFUNGULIWA"
Hapo ndipo penye msingi wa maungamo na hakuna wa kubadilisha hili andiko na ndiyo msingi wa Kanisa,kama Alfa wa kwanza Petro alitekeleza hilo nani leo wakubadilisha?
Wakatoliki sio wakristoInashangaza, kwamba padri anakuondolea dhambii
Hili kanisa kweli la kikristo?
Kwahyo mkuu kanisa halijawahi kubadilisha kuendana na usasa?Kwanza kaa ukijua kanisa katoliki limepita katika changamoto mbalimbali na nyingi kuliko unavyodhani,
Pili, kanisa haliwezi kubadili taratibu zake eti ili kuendana na usasa, never ever.
Tatu, kama umekwazwa hama kanisa, huko utakakokeenda hakutakuwa na changamoto maana hao si binadamu kama sisi.
Nne, hujui chochote juu ya kitubio ....so you better keep your ignorance to yourself.
Hata feel free church la Sir MASANJA linawashindaWakatoliki sio wakristo
We ni kiazi kweli, emu leta hyo article nikuoneshe ujinga wako uliipoKwahyo mkuu kanisa halijawahi kubadilisha kuendana na usasa?
Hujasiki papa anataka kuruhusu ushoga?
Wewe hujui kuwa zamani mapadri walikuwa wanaoa?
Kanisa la Rc limekuwa likibadilika kuendana na ukisasaKwahyo mkuu kanisa halijawahi kubadilisha kuendana na usasa?
Hujasiki papa anataka kuruhusu ushoga?
Wewe hujui kuwa zamani mapadri walikuwa wanaoa?
Huyu jamaa inaonekana hata hazijui harakati za kanisa lake.Kanisa la Rc limekuwa likibadilika kuendana na ukisasa
Mfano, baada ya kuonekana wengi wanahama kanisa kutikana la namna ya maombi kuanzia ya shukrani mpaka ya toba...kanisa lilikubali ianzishwe huduma ya kufanana na walokole call them Protestants wakaiita KARISMATIKI. Hii imesaidia Sana to retain wahumini.
Kristu aliagiza kuwa ukihubiri Neno lakini watu/mtu asilipokee basi unakung'uta mavumbi ya miguu juu yao, hakuna kulazimishanaKafie mbali
Kwahiyo wewe bado unaungama dhambi zako kwa Padre. ?[emoji848][emoji856]Tatizo lako ni kudhani kiongozi wa dini ni mtakatifu kuzidi wewe. Kwamba mchungaji wako ni super human, hatendi dhambi.
Ukisoma waebrania 5:3 inaonyesha kuhani ni mtu dhaifu, ambaye kapewa neema ya kutolea matoleo ya dhambi zake na dhambi za wenzake. Huyo wa kwako mkamilifu mtafute makanisa yote hutampata.
Pole, hujui tu na siwezi kusema hapaHuyu jamaa inaonekana hata hazijui harakati za kanisa lake.
And sadly 98% ya wakatoliki ndivo walivo.
Unaogopa nini?Pole, hujui tu na siwezi kusema hapa
Ndiyo, naungama kwa Padre. Kwa sababu naamini padre ni chombo cha kanisa, na kanisa ndo linaniondolea dhambi kupitia huduma lililokabidhiwa kulingana na Yn20:23.Kwahiyo wewe bado unaungama dhambi zako kwa Padre. ?[emoji848][emoji856]
Wanajifanya kupinga kuungama lakini wakipewa reference za maandiko wanajiona wao ndo wamepotoka, hivyo wanaamua kujitengenezea kanamna flani ka kujifariji. Kuna wengine wao ukitenda dhambi unabatizwa upya, ajabu wale viongozi huwa hawabatizwi batizwi, sijui wenyewe hawatendi dhambi?Sasa si bora hao ambao unaenda kumuambia Padri peke yake.. Leo kuna makanisa yanayokutaka ukatubu na kuungama dhambi zako mbele ya kanisa.. Na waumini wote wanakusikiliza na mwisho wanakuombea toba..ππππ
Unachunguza tabia za huyo Padre ?Ndiyo, naungama kwa Padre. Kwa sababu naamini padre ni chombo cha kanisa, na kanisa ndo linaniondolea dhambi kupitia huduma lililokabidhiwa kulingana na Yn20:23.
Kuna tetesi Papa anafikiria kubariki ushoga ndani ya Kanisa Katoriki kama Kanisa la Anglikana.Acha wewe na mibange yako, sie ni watiifu hadi mwisho!
kama umeacha wewe kwanini unataka na wengine wafuate uendawazimu wako?