HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Niliona nini? Hio ni Siri yangu..

Mpaka hapa chochote utakachokiandika ukiwa umebanwa na watu utakuwa umejitungia ilibidi useme straight uliona nini na nini toka mwanzo na hapa sote hatujulikani tunatumia fake IDs ni nani angekujua?
Sawa mkuu acha niseme,

Kwanza kwenye kusimamia kuna levels kwa jinsi nilivyokua nmeona kipindi kile sijui siku hizi, kulikua na madaraja yaan mnapangwa umri mpaka umri, kulikua na watoto kabisa ambamo mimi nilikuemo alafu walifuata wakubwa wa kati kisha wakubwa wengine

Tufanye hivi miaka 5-12 group A, miaka 13-17 group B na miaka 18-25 na kuendelea group C

Sasa mimi nilikua mdogo kwenye group A, basi kukawa na mafundisho kila Jumapili Jioni kwa hio nikawa naenda, ki ufupi nilikua napenda sana ila hali ilikua tofauti since day 1

Nilipofika hio siku tulitembelewa na wale mabraza, wakatusalimia aisee ni wanyenyekevu mno na walikua sio wakali wakawa wametuletea zawadi ya mikungu ya ndizi,

Basi siku hio baada ya mafunzo ya namna ya kutumikia kuna kazi za kufanya km kufagia maeneo na kwenda kuhamisha masanduku ya sadaka pomoja na vipaji kutoka kwenye ofisi ya mapadri na makatekista kupeleka kwenye nyumba ya mapadri, sasa balaa ndio lilianzia hapa

Nakuja kuimalizia.. ngoja niweke nukta kwanza
 
Kwahyo wakuu mkishamuambia padri yeye ndo anaenda kumwambia mungu au?
Kama lengo lako ni kujifunza;

Padre anasimama kama shahidi/kuhani mimi muumini ninapokuwa pale ktk jicho la imani inanipasa nijenge taswira kwamba nipo mbele ya mtumishi wa Mungu asiye na shaka.rejea andiko la injili Yesu alipompa Mtume Petro mamlaka kwa kumwambia

”LOLOTE UTAKALOLIFUNGA DUNIANI NA MBINGUNI LITAKUWA LIMEFUNGWA NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGUA DUNIANI NA MBINGUNI LITAKUWA LIMEFUNGULIWA"


Hapo ndipo penye msingi wa maungamo na hakuna wa kubadilisha hili andiko na ndiyo msingi wa Kanisa,kama Alfa wa kwanza Petro alitekeleza hilo nani leo wakubadilisha?
 
Kwahyo wakuu mkishamuambia padri yeye ndo anaenda kumwambia mungu au?
Ukimuambia Padre.. Yeye kwa Mamlaka aliyo nayo.. Anakuondolea hiyo dhambi.. Papo hapo na anakupa "adhabu" kwa jina la malipizi ili iondoke kabisa.

JE, UNAJUA SAKRAMENTI MBILI ZA UPONYAJI KATIKA KANISA KATOLIKI?

Licha ya neema isiyo na kikomo iliyopewa kupitia uhusiano wetu wa kibinafsi na Utatu katika Sakramenti za Kuanzishwa, tunaendelea kutenda dhambi na bado tunakutana na magonjwa na kifo. Kwa sababu hii, Mungu anakuja kwetu na uponyaji katika njia mbili za ziada na za kipekee.

KITUBIO:
sakramenti ya kukiri, toba na upatanisho hutupatia kukutana kipekee na Mungu katika dhambi yetu. Mungu anatupenda sana hata amekuja kutupatanisha na sisi. Na alifanya hivyo akijua kabisa kuwa sisi ni wenye dhambi wanaohitaji msamaha na rehema.

Kukiri ni fursa ya kukutana kwa kweli na kibinafsi na Mungu katikati ya dhambi. Ni njia ya Mungu kutuambia kuwa yeye mwenyewe anataka kutuambia kuwa anatusamehe. Tunapokiri dhambi zetu na kupokea kufutwa, tunapaswa kuona kwamba hii ni kitendo cha Mungu ambaye anakuja kwetu, anasikiliza dhambi zetu, akazifuta na kisha kutuambia tuende na tusifanye dhambi tena.

Kwa hivyo unapoenda kukiri, hakikisha unaiona kama mkutano wa kibinafsi na Mungu wetu mwenye rehema. Hakikisha kumsikia akiongea na wewe na kujua kuwa ni Mungu anayeingia ndani ya roho yako kwa kufuta dhambi zako zote.

MPAKO WA WAGONJWA:
Mungu huwajali na kuwajali wanyonge, wagonjwa, wanaoteseka na wanaokufa. Hatuko peke yetu katika wakati huu. Katika sakramenti hii, lazima tujitahidi kuona Mungu huyu wa kibinafsi akija kwetu kwa huruma kututunza. Lazima tumsikie akisema yuko karibu. Lazima tumruhusu abadilishe mateso yetu, alete uponyaji anayotaka (haswa uponyaji wa kiroho) na, wakati wetu utakapokuja, tumruhusu atayarishe roho yetu kikamilifu kukutana naye mbinguni.

Ikiwa unajikuta unahitaji sakramenti hii, hakikisha unaiona kama Mungu huyu wa kibinafsi ambaye anakuja kwako wakati wa hitaji la kukupa nguvu, rehema na huruma. Yesu anajua mateso na kifo ni nini. Aliishi nao. Na anataka kuwa huko kwa ajili yako wakati huu.

“Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, ‘Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako’... ‘Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi’ - amwambia yule mwenye kupooza - ‘Ondoka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako’. Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake. Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii” (Injili ya Mathayo 9:2,6-8).

Credit :#RmSautiYaFaraja
FB_IMG_1665503593377.jpg
 
Sawa mkuu acha niseme,

Kwanza kwenye kusimamia kuna levels kwa jinsi nilivyokua nmeona kipindi kile sijui siku hizi, kulikua na madaraja yaan mnapangwa umri mpaka umri, kulikua na watoto kabisa ambamo mimi nilikuemo alafu walifuata wakubwa wa kati kisha wakubwa wengine

Tufanye hivi miaka 5-12 group A, miaka 13-17 group B na miaka 18-25 na kuendelea group C

Sasa mimi nilikua mdogo kwenye group A, basi kukawa na mafundisho kila Jumapili Jioni kwa hio nikawa naenda, ki ufupi nilikua napenda sana ila hali ilikua tofauti since day 1

Nilipofika hio siku tulitembelewa na wale mabraza, wakatusalimia aisee ni wanyenyekevu mno na walikua sio wakali wakawa wametuletea zawadi ya mikungu ya ndizi,

Basi siku hio baada ya mafunzo ya namna ya kutumikia kuna kazi za kufanya km kufagia maeneo na kwenda kuhamisha masanduku ya sadaka pomoja na vipaji kutoka kwenye ofisi ya mapadri na makatekista kupeleka kwenye nyumba ya mapadri, sasa balaa ndio lilianzia hapa

Nakuja kuimalizia.. ngoja niweke nukta kwanza
Urudi mkuu mm nimesha subsrible huu uzi.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu acha niseme,

Kwanza kwenye kusimamia kuna levels kwa jinsi nilivyokua nmeona kipindi kile sijui siku hizi, kulikua na madaraja yaan mnapangwa umri mpaka umri, kulikua na watoto kabisa ambamo mimi nilikuemo alafu walifuata wakubwa wa kati kisha wakubwa wengine

Tufanye hivi miaka 5-12 group A, miaka 13-17 group B na miaka 18-25 na kuendelea group C

Sasa mimi nilikua mdogo kwenye group A, basi kukawa na mafundisho kila Jumapili Jioni kwa hio nikawa naenda, ki ufupi nilikua napenda sana ila hali ilikua tofauti since day 1

Nilipofika hio siku tulitembelewa na wale mabraza, wakatusalimia aisee ni wanyenyekevu mno na walikua sio wakali wakawa wametuletea zawadi ya mikungu ya ndizi,

Basi siku hio baada ya mafunzo ya namna ya kutumikia kuna kazi za kufanya km kufagia maeneo na kwenda kuhamisha masanduku ya sadaka pomoja na vipaji kutoka kwenye ofisi ya mapadri na makatekista kupeleka kwenye nyumba ya mapadri, sasa balaa ndio lilianzia hapa

Nakuja kuimalizia.. ngoja niweke nukta kwanza
Hunishawishi!!!

Ukinisoma vizuri pale juu nimekutaka kwamba chochote utakachotaka kusema baada ya post yako ya kwanza pale juu kitakuwa hakina ladha kama ungeanza moja kwa moja kukieleza siyo useme baada ya sisi wajumbe kukubana.

Tutajuaje kama unatunga uwongo?
 
Najuta sana kwa kupiga magoti na kuungama mbele ya binadamu mwenzangu. Ni enzi za utoto bila kujua dini ni nini. Ni mbinu tu za hao Wayahudi kuteka mawazo ya watu kisaikologia. Mf. Ukipanga mbinu za kupindua serikali na baadae ukaacha na kuungama, si jamaa atapeleka jina lako Ikulu? Kulikuwa na adhabu ya kutumbukiza pesa Fulani ili usamehewe!!
 
Pentecostal and born again churches zinafanya ukatoliki kua dini outdated vijana wengi na wanawake wamakamu wote wanahama katoliki kuenda ulokole, hizo dini ni pingo kumbwa kwa uhafidhina wa katoliki in 50yrs ukatoliki utapungua sana au utabadili jinsi ya kuendesha ibaada zao na kuacha baadhi ya misimamo yao.
Sahau
 
Hunishawishi!!!

Ukinisoma vizuri pale juu nimekutaka kwamba chochote utakachotaka kusema baada ya post yako ya kwanza pale juu kitakuwa hakina ladha kama ungeanza moja kwa moja kukieleza siyo useme baada ya sisi wajumbe kukubana.

Tutajuaje kama unatunga uwongo?
Sawa mkuu,
 
Urudi mkuu mm nimesha subsrible huu uzi

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Huyo ni ATTENTION SEEKER usijisumbue ukadhani atasema kitu cha maana vyote vitakuwa ni vya kutunga tu hakuwa na sababu ya kuandika alichoandika pale juu angeenda straight kwenye anachohadithia hapa ila yeye ameamsha ari za member hapa kisha anakuja na vipande vipande.

Mimi nimepitia stage alizosema hapo tofauti yangu mimi sikuwa na hamu ya kusogea mbele zaidi ni ile hulka ya utoto kutaka kujaribu kila kitu.
 
Huyo ni ATTENTION SEEKER usijisumbue ukadhani atasema kitu cha maana vyote vitakuwa ni vya kutunga tu hakuwa na sababu ya kuandika alichoandika pale juu angeenda straight kwenye anachohadithia hapa ila yeye ameamsha ari za member hapa kisha anakuja na vipande vipande.

Mimi nimepitia stage alizosema hapo tofauti yangu mimi sikuwa na hamu ya kusogea mbele zaidi ni ile hulka ya utoto kutaka kujaribu kila kitu.
Wewe hujui unachokiongea mkuu, tena usinitake niongee nitamwaga kila ushenzi unaofanyika kule utashikwa na aibu
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.

Sio siri tena, Kutubu mbele ya Padri kwa sasa kumekuwa sumu ya kuwaumiza waumini au kitendawili chenye kukosa majibu.

Kiapo cha Upadri kutunza siri za waumini kimepoteza mwelekeo, Mapadri wamekosa uaminifu mbele ya waumini na mbele ya jamii, imani na amani baina yao haipo tena. Muumini anazini, padri naye anazini nani wamkutubisha mwenzie.

Muumini ametoa mimba na Padri amebaka mtoto anayemfundisha komunio, nani akatubu kwa mwenzie?

Muumini anayetafuta msaada wa kuokoa ndoa yake kwa kumwambia Padri naona alivyokosea, Padri anatumia mwanya huo kuzini na mkewe

Sasa huu ndio wakati muafaka zaidi kwa kila mtu kwenda kutubu kwa Mungu wake ili kila mtu apambane na dhambi zake kwa muumba wake?
Mimi ni mkatoliki niliyeacha kuungana mda mrefu sana
 
Hunishawishi!!!

Ukinisoma vizuri pale juu nimekutaka kwamba chochote utakachotaka kusema baada ya post yako ya kwanza pale juu kitakuwa hakina ladha kama ungeanza moja kwa moja kukieleza siyo useme baada ya sisi wajumbe kukubana.

Tutajuaje kama unatunga uwongo?
Mkuu kwani una tatizo gan? Km unaona anatunga uongo na wewe basi tunga uongo wako kisha uweke humu kuna mtu atakuzuia au unamuona anafaidi akielezea kilichomkuta? Bladfoken na wewe tunga story yako km unafikiri kutunga ni rahisi

Moderator usinipige ban
 
Hivi padre yeye hana dhambi? Ana tubu wapi? Au ana tubu online?
Hakuna binadamu asiyekuwa na dhambi na kila taasisi imejiwekea utaratibu wake jinsi ya ku-deal na hayo mambo.

Padre nae anaungama kwa padre mwenzake even Askofu akijihisi kuanguka nae anafanya vivyo hivyo hata Pope maana wote anytime anywhere wanawindwa.
 
Wewe hujui unachokiongea mkuu, tena usinitake niongee nitamwaga kila ushenzi unaofanyika kule utashikwa na aibu
Niwe najua au sijui ninachokiongea nasimamia hoja yangu vyote utakavyoandika au unavyoandika baada ya post yako ya mwanzo ni vya kusadikika tu,kulikuwa na sababu gani ya kuandika gazette reefu usiainishe japo sentence mbili ili kuondoa shaka kwa tunaokusoma.

NB;sikatai kuna matatizo kwenye kila taasisi ila ninachokikataa mimi ni mtu kutaka kuzusha hofu pasipo na sababu.
 
Back
Top Bottom