Unaamini ni kweli alitaka kulipua vituo vya mafuta na mikusanyiko ya watu??Very serious offenses
Haya ndio madhara ya kurun chama Cha siasa kama Serikali inayojitegemea.
Nilishawahi kuandika hapa haya madude yanaitwa sijui Redbrigade na nini sijui ni kujipa majukumu ambayo chama hakipaswi kuwa nayo.
Chama kinapaswa kueneza sera zake tu.
Madhara ya kuextend obligations ndio kama haya.
Mamlaka hii nayo natoka kwa Mungu eti!?!!Mashtaka ya kipuuzi na ya kutunga, Mbowe kutaka Katiba Mpya sio kupanga kulipua vituo vya mafuta, hii dhulma iko siku mtaulizwa mbele ya safari mmekosa aibu kabisa.
MboweAishi ni hotel ya nani
Hii ni baada ya tukio la lissuMbowe aminywe bumpu mpaka ataje nani alimjeruhi kwa risasi kamanda Lissu.
Siyo gaidi mpaka itakapothibitika ni gaidi,Mimi naamini serikali yangu, Mbowe atulize macho yake kama panya aliyebanwa na mtego ni gaidi mpaka itakapothibitishwa siyo gaidi.
Chama kinapaswa kuwa na green guard tu.Very serious offenses
Haya ndio madhara ya kurun chama Cha siasa kama Serikali inayojitegemea.
Nilishawahi kuandika hapa haya madude yanaitwa sijui Redbrigade na nini sijui ni kujipa majukumu ambayo chama hakipaswi kuwa nayo.
Chama kinapaswa kueneza sera zake tu.
Madhara ya kuextend obligations ndio kama haya.
Mkuu mbona unatukana?.Mama wapige pini hao.
Kwani huyu DPP si ni yule mpya baada ya yule wa sukuma gang kukomeshwa?Sawa DPP, damu ya hii na kikombe hiki na iwe juu yako - hata Yohana mbatizaji alihukumiwa gelezani kisa kumwambia mke wa mfalme anamegwa.
Yesu Kristo pia alihukumiwa ingawa DPP wa wakati huo Pilato alinawa mikono akasema kikombe hicho na kimwepuke mbali - wapambe wakamsurubu hadi wakamuua.
Leo tunaiona sahihi yako mkuu, yote ni sawa.
Hakyamungu kama haya ndio mashitaka yenyewe ni aibu.
Hata ya Sabaya ni ya kipuuzi na ya kutunga...kuimba ni kupokezana๐๐๐๐Mashtaka ya kipuuzi na ya kutunga, Mbowe kutaka Katiba Mpya sio kupanga kulipua vituo vya mafuta, hii dhulma iko siku mtaulizwa mbele ya safari mmekosa aibu kabisa.
...kama ambavyo ubaya aliotendewa Sabaya utakavyolipwa... kuimba ni kupokezana ๐๐๐Kila ubaya aliotendewa Mbowe utalipwa
Ni gaidi period.Siyo gaidi mpaka itakapothibitika ni gaidi,
mbona wewe unasema kinyume nyume? Ni shule gani hiyo wanafundisha hivyo!
Mama alisema tutulie aboreshe uchumi kwanza...kipi msichoelewa mpaka sasa?CCM na serikali yake, ni kwanini mnauogopa mchakato wa Katiba Mpya?
Ni mahakama ndiyo itakayoamua. Mtume hahusiki na haya na si mtoa hukumuSMIA HASSAN UMERUHUSU HAYA? NA UISLAMU WAKO UMERUHUSU HAYA? MTUME MOHAMED (SAWA) ATATOA HUKUMU YA HAKI
Huu huu uchumi ulioanza kuboreshwa tangu 1961 au kuna uchumi mwingine?Mama alisema tutulie aboreshe uchumi kwanza...kipi msichoelewa mpaka sasa?
funds utakuja kuzipata kwenye ushahidi. tulia.Hiyo Fund ni dola ngapi mbona hazitajwi kwenye Particulars of facts au ndio Fund tu ivyo ivyo wasomi?
Si ndo akili hizo zimekuja na tozo.Dah! Kutoka kupanga njama za kuua viongozi wa serikali hadi kulipua mitungi ya gesi!?
Upuuzi huu huwa anaupanga nani lakini? Kweli nimeanzan kuamini njama za kumuua Lissu walizipanga hawa hawa vichwa "think tank" waliondaa hii kesi......!
Watanzania kwa umoja wetu kazi yetu sasa iwe ni kuwatafuta hawa vichwa panzi! Unaweza kuta wapo sehemu nyeti serikalini ambayo maamuzi yao ndio yanaliongoza hili taifa! Hawa ndio wanapitia majina ya teuzi za mawaziri, mabalozi,nk hawa ndio wanajifungia sehemu na kuja na mbinu za kuinua uchumi na kutafuta muafaka wa tatizo la ajira, nk.nk....Jamani tuwatafute ili kunusuru taifa hili!