Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

KWA KIFUPI TU VIJANA MNAJIONEA WENYEWE AKINA MY WENU WANAVYOTAKA KUWAUWA

🚨🚨🚨KATAA NDOA AT ALL COST,NDOA NI UTAPELI!!!


Kama unapenda afya yako ya akili,uchumi wako na afya yako kiujumla kimbia utapeli unaitwa ndoa🤝
 
MTOA MADA KARIBU CHAMA KUBWA KATAA NDOA.WIKI IJAYO TUTAKUWA NA MKUTANO MKUBWA WA UFUNGUZI WA SEMINA ELEKEZI KWA WANACHAMA WAPYA KATIKA MWAKA 2025.SEMINA ITAFANYIKA KATIKA HOTEL YA SERENA.MGENI RASMI ATAKUWA ELON MUSK TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI.

MNAOMBWA MSIPANGE KUKOSA.SHUKRANI ZA DHATI ZIWAFIKIE MALEJEND WOTE WA KATAA NDOA.

📌📌KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!!
 
Hongeraaaa aaaaaah Sana mwambaaaaaaaa! Hapo Tulia Sas harafu set maisha kubali kuanza upya siku Zote mwanaume ni mwanajeshi aliyetelekezwa vitani, kwahiyo jukumu lipo mikono mwako kuhakikisha unakamilisha mipango yako Bila kuangalia magumu uliyopitia,, andaa ratiba rafiki na maalum kwaajir ya watoto wako na uhakikishe kila ukipata fursa yakuongea nao iwe physical au networking hakikisha unaongeanao kuhusu changamoto za maisha yaan uwe baba wa kwanza kuhakikisha unatetea Amani ya watoto.
Huyo x mkeo usithubutu kuongea nae lolote linalohusu mahusiano au changamoto zake binafsi, once kuitoa chance yakujipendekeza kwake atajipanga kwa mission nyingine ili akukomoe mazima. Na inapobid nunua simu maalum kwaajili ya watoto nyumbani ili kila ukihitaji kuongeanao usipate vikwazo! Karibu Sana mzee wangu
 
Kataa ndoa tulishaliona hili suala siku nyingi sana,

nikiona watu kwenye vikaovya harusi huwa natamani niwaambie wapitie mahakamani kwanza wafanya case studies
kuna huyu dogo anajiita mchezaji kutoka Afrika magharibi that poor boy kwa muonekano wake huyo mwanamke kafata pesa. Dogo hana aura wala swaga za kumiliki huyo changu wa mujini.

Any way naona kuna watu wazima wameamua kukaa kimya na kumuacha dogo aoe retired midfilder😄

📌📌📌Kama mwanachama wa kataa ndoa,napinga hiyo ndoa ya kitapeli.Msimamo wa kataa ndoa ni kuwa dogo kapotoka na huo msimbe.
 
Mke wa waume wengi huyo.
 
Ningeshangaa sana kama kina livapool VPN na wenzake wazee wa kataa ndoa msingekuja ku co sign hii ishue. All in all jamaa kaimaliza kikamanda
Acheni kunormalize hii situation.Hakuna kitu kwa mwanaume kinauma kama kugongewa na kudhulumiwa mali.

Huyu jamaa kaumizwa mbaya mbovu kapigwa two in one.Maumivu yake hayaelezeki ila ndo hivyo ni UKUMBUSHO KWA TEAM "I LUV MY WIFE" waanze kukaa mkao wa kula.
 
Kwann mgawane mali 60% - 40% halafu tena utoe pesa kwa ajili ya watoto?
Mbaya zaidi n kama mwanamke hana mchango wowote kwenye hizo mali, serikali inawapendelea sana wanawake utadhani ni walemavu.
The guy is in a confusion state,atakuja kuelewa blander aliyofanya baadae akili ikipoa.
 
Vipi ulishafikiria kuwapima watoto DNA? Maana mkeo alikuwa bandidu kwelikweli.
 
Sisi wa do or die hatuwezagi kusamehe.Nitabaki kataa ndoa niendelee kuwala kimasihara ila kujimilikisha na kufuga kunguru mwiko.
 
Jamaa keshapigwa na kitu kizito na hilo single maza bobezi. Sijui kwanini haya makwasukwasu yanatuotea wanaume kwa kweli.
 
Mwanaume unampendaje mwanamke???

Mwanaume unatakiwa umpende mwanamke mmoja tu hapa duniani na huyo ni mamako.Hawa wasaliti wengine ni mwiko kuwapa kipaumbele.

📌Dogo badilika utakufa kabla ya mda wako kwa kuwapa umuhimu hao STRANGERS!!!
 
Shukrani mkuu
 
Sasa demu kashatombwa, kapigwa picha za uchi jamaa kutaka kufuatilia kapigwa lockup, jamaa kakubali yaisje anataka waachane kwa usalama wa mali zake zingine...badala ya kuangalia jambo kwa namna unayoangalia mpongezw jamaa kwamba ni mwanaume na analimaliza jambo kikamanda na sio mwoga wa maisha...Kataa ndoa wengi, wengi wao, ni Waoga wa maisha na hawana composure kwahiyo ku sustain mikiki mikiki ya wanawake hawawez inabidi wakaushe tu na kuipraise hiyo movement yao...ALL IN ALL JAMAA KAPAMBANA KIUME,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…