Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatuja normalize, the situation is tough, the guy is tougher. Going through tough situations sometimes indicate a sign of better things to come...
 
Na kuna mazingira huwa inakua mpaka 70% 30% mkuu..inategemeana na mazingira vinginevyo mnatakiwa muanze ku establisha proof kwann upewe au usipewe % unayotaka endapo hujaridhika
Kwa nionavyo mimi kuna namna mahakama imeona wewe unahaki yaani hao mahakimu kuna kitu wamekitambua ndio maana ikawa 50% 50%
 
Haya maisha kama movie.
 
Waeleze kabisa

Yani gone are the days Ndoa ni kitu cha kumtishia mwanamke
 
Haya mambo tumeandika sana humu, ndoa ni jambo la ovyo kwa mwanaume. Kama unaweza kuishi bila ndoa ni kheri iwe hivyo kwa amani ya moyo wako.
Ndoa ni kwaajili ya wanawake tu labda na wanaume wasio na akili.
 
Kumbe kuoa ni kukubali kuvumilia mikiki mikiki ya mwanamke!? Kama ndo hivyo basi KATAA NDOA wana hoja.
Yaani nimlipie mahali, nimtunze na kufanya kilakitu then niwe tayari kuvumilia mikiki mikiki yake!!!!??? Nitakuwa mwehu!
Mwenye akili ni yule anayeona hili jambo halifai na kulikwepa.
NDOA NI JAMBO LA OVYO MNO KWA MWANAUME.
KATAA HUO UTAPELI, KATAA NDOA.
 
Nakoment ili kujua mwisho wa hili suala. Vipi wife akikutafuta ndani ya hizi siku arobaini akakupa K halafu akawa anakubembeleza mfute kesi, vipi utamkubalia?
 
Nakoment ili kujua mwisho wa hili suala. Vipi wife akikutafuta ndani ya hizi siku arobaini akakupa K halafu akawa anakubembeleza mfute kesi, vipi utamkubalia?
K sio kitu cha maana sana mkuu, nina uwezo wa kula K safi za watoto wa 20's maana hayupo nyumban zaidi ya miezi mi 3.

Suala la kufuta kesi liko ndani ya uwezo wake hata bila kunibembeleza maana ni yeye ndio incharge wa kesi. Hata asiponibembeleza ana uamuzi wa kufanya hivyo ila kwasasa haitaweza badili chochote kaka.

Utawezaje tena kukaa karibu na mtu aliyekutia ndani lockup?
Mtu ambaye bila aibu akabambikiza tuhuma nzito za ulawiti mbele ya baraza la kata
Mtu anayesema haijui shilling 10 yako toka muoane kwa 15 years?
Unapataje ujasiri hata wa kula chakula na mtu wa namna hiyo?

Hiyo itakua death sentence ambayo nitakua nimejihukumu mwenyewe.

Unajua hata kwann sikutaka kugombea watoto kwasasa??
SAbabu moja wapo ni kwamba huyu mwanamke haweza shindwa hata kunitengenezea kesi ya mimi kuwabaka watoto wake mwenyewe ili nikatiwe ndani maisha!!.

Siwezi asilani kufanya kosa kubwa namna hiyo mzee baba

Soon baada ya kesi, namba nimebadili zootee na mkoa nilisha hama.

Hana access na mimi
 
Kwa nionavyo mimi kuna namna mahakama imeona wewe unahaki yaani hao mahakimu kuna kitu wamekitambua ndio maana ikawa 50% 50%
Ni kama ulikuwepo chief. Tena hakimu alikua mwanadada tu mrembo, ila aliona kitu na ni kama mwingine aangesima alikaa upande wangu.
 
Sikujua hizo tuhuma kama alikubambikia aiseee, Kaa mbali na hiyo kitu
 
Ukiipata hiyo hati ya taraka nenda kasajili RITA kabisa
 
Sikujua hizo tuhuma kama alikubambikia aiseee, Kaa mbali na hiyo kitu
Ahah..mkuu hii habar sikutaka kuiandika kwa kinaa sana. Maaa wakat nauandika uzi wa kwanza nilikua siko katika utulivu mkubwa.
Huyu mama, kafanya vingi mnoo
 

Mwamba Huu uzi wangu hukuuona??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Ahahahah..sasa huu uzi ungeuandika 15 years back labda ningesaidika
 
Ahah..mkuu hii habar sikutaka kuiandika kwa kinaa sana. Maaa wakat nauandika uzi wa kwanza nilikua siko katika utulivu mkubwa.
Huyu mama, kafanya vingi mnoo
Mpaka hapo umeishawin endelea na mambo mengine, maana kayasanua bado una nguvu ni jambo la kushukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…