Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Baada ya kusoma hii comment , sasa ndio nimeelewa point ya msingi ya brother mrangi , aisee usemacho ni kweli. Ni vile tu huu uzi sijataka kueleza kila kitu lakini jayo uliosema yamenipata na ndio wife kwa kushirikiana na polisi wakanitia lockup.
YF alinifungulia mashtaka yafuataya sambamba na hili:

  • kesi ya shambulio (criminal)
  • namtishia uhai wake kuwa nataka kumuua (life threat) na akatumia loophole hii kubeba watoto na kuhamisha vitu ndani baada ya mimi kutowa ndani
  • kesi ya kimtandao kwamba natiashia kusambaza kwenye mitandao picha zake nilizofuma kwenye simu yake.

Haya yoote yalichukuliwa hatua sema kama ifuatavyo

- kesi ya shambulio (yaan nilipompiga baada ya kulita picha halaf akanijibu shit) hii ndio iliniweka lockup

- kusambaza picha - simu yangu ikachukuliwa na kupekuliwa na watu wao japo hapa nikawachukulia poa sana maana walizitafuta kwenye simu na hawakuziona licha ya kwamba niezificha (kitaalam) humo humo. Haba degree ya CS ilinisaidia 😅, baada ya kuzikosa wakashindwa kufungua shauri nikawa cleared

- kumtishia maisha, hii iliambatanishwa na shambulio, hivyo nilivyotolewa lockupnkwa dhamana, kesi hawakupeleka mahamakan kwakua ilikosa kabisaaa mashiko. Walini release baada ya kuchoka ku report nikaweka presha wapeleke keai mahakaman. Wakaniacha, kesho yale ndio walafungua kesi ya talaka.
Shauri la talaka ili lisikilizwe mahakamani lazima liwe na mambo yafuatayo.
1. Tishio la Maisha
2. Uzinzi
3. Kutengana
4. Usuluhishi ulioshindikana Baraza la Kata.
Hivyo mstaki anadai yafuatayo.
1. Talaka
2. Mgawanyo wa Mali
3. Malezi juu ya watoto.

So akipewa fomu na3
Lazima aandike offense zinazomfanya adai talaka.
hakuna talaka inatolewa bila kuwa na hizo makosa..
Sasa kimsingi anayeshtakiwa iwapo anataka mambo yaende tu fasta, ANAKIRI KILA KITU.
Hakimu hana budi kutoa hukumu.
Ukimalizia na hutaki pia mgawanyo wa mali abaki nazo anayezidai.
Ah mbona mserereko.
wanaopata shida ni KUKATAA MASHTAKA DHIDI YAO NA KUKATAA MGAWANYO WA MALI
Hapa ndo ngoma.
Ila kama wenzangu na mie, aaaah ganda la ndizi tu.
Hakimu wanapedna kesi za hivi as havimpi kichwa kuuma.
Sasa hii reaction ya HEWALA sio kitu kinachotarajiwa na wanaopeleka kesi.
HAPO NDO unaskkia, naomba tuongeee, wewe bana tuongee nini?

TUENDELEE ULIPOISHIA!!!
 
Umeona sasa? Mnaenda kumfanya huyo binti aone mahusiano ya ndoa ya hovyo..!!

Mkeo itakuwa amekurupuka kudai talaka ila atajutia na itamtesa sana baadae..!!

Mkuu km kuna uwezekano wa kuahirisha maamuzi fanya hivyo kwa mustakabali wa watoto wenu..!! Mkishindwa sana gawaneni vyumba mlee mtoto.

Unajua kinachoenda kutokea? Wewe utaanzisha familia na mwanamke mwingine, na mkeo nae ataanzisha familia na mwanaume mwingine..!!
Hapo mtawaweka katikati watoto wenu, wakiwa kwa baba wanakuta mama mwingine na watoto wake, wakiwa kwa mama wanakuta baba mwingine na watoto wake..!!! Hao watoto watakuwa na huzuni miaka yote.. 😥
Hakuna furaha ya dhati kwa watoto Kama kuwaona wazazi wao walkways wamoja, hata Kama hawana kitu!
Ikishindikana kama hii ya mtoa mada, basi kuwa na uhakika hakuna namna itawafurahisha watoto wao, lawama zote zinaenda kwa mwanamke, ameamua kuwa mpumbavu kwa mambo yake ya hovyo hovyo (ikiwa msimuliaji amesema kweli)
Hatma ya watoto wao imeshaingia dosari, japo wanaweza kufanya vizuri kabisa na wakafikia ndoto zao kwani Mungu anafanya yaliyowashinda wanadamu!
 
Kila mmoja ataenda kwa wakati wake.

Haina hata haraka, we kapige zako hela chimbo huko.

Mwenye shida na talaka ataifuata.

Mahakama ipo tu utaenda hata miaka 19 ijayo.
Recordings zimeshaandikwa.
Naona unampa ujuzi kaka angu. Mkiwa mnaongea huko pm au whatsApp utamfundisha vitu vingi zaidi na atapona haraka sana.
 
Ahahahah..sio wote, ila wengi
On a serious note...haka kakipindi katakupeleka resi kiaina ila what doesnt kill us makes us stronger. Kaa mbali na sketi kwanza maana ni rahisi kuangukia chaka bovu tena. Kama utaweza jijenge upya kuanzia kiroho mpaka kimwili, kama kuji-rejuvinate flani hivi. Just know HILI NALO LITAPITA. Tumejifunza kwako budda, Mungu amrehemu huyo dada.
 
On a serious note...haka kakipindi katakupeleka resi kiaina ila what doesnt kill us makes us stronger. Kaa mbali na sketi kwanza maana ni rahisi kuangukia chaka bovu tena. Kama utaweza jijenge upya kuanzia kiroho mpaka kimwili, kama kuji-rejuvinate flani hivi. Just know HILI NALO LITAPITA. Tumejifunza kwako budda, Mungu amrehemu huyo dada.
Nimemwambia akae mbali na sketi kabisa.
Asijifanye umwamba

Ehehehehher talaka ina relapse kama drugs.
Maaaanina!!
Ghafla tuu hasira zinakupanda, ehehehe watu huchukulia poa wanataka waonekane wamemove on haraka, weeeeh.

Atulize kengele
 
On a serious note...haka kakipindi katakupeleka resi kiaina ila what doesnt kill us makes us stronger. Kaa mbali na sketi kwanza maana ni rahisi kuangukia chaka bovu tena. Kama utaweza jijenge upya kuanzia kiroho mpaka kimwili, kama kuji-rejuvinate flani hivi. Just know HILI NALO LITAPITA. Tumejifunza kwako budda, Mungu amrehemu huyo dada.
Nimekuelewa mkuu. Ahsante sana
 
Nimemwambia akae mbali na sketi kabisa.
Asijifanye umwamba

Ehehehehher talaka ina relapse kama drugs.
Maaaanina!!
Ghafla tuu hasira zinakupanda, ehehehe watu huchukulia poa wanataka waonekane wamemove on haraka, weeeeh.

Atulize kengele
Very very true. Kuna namna nilikua nimeandaa kisasi juu ya huyu mtu ila nikaghairi baada ya kufikiri kwa kina
 
Jamaa Yangu Mmoja na yeye yalimkuta haya, same scenario, Unaambiwa Mwanamke alilia balaaa hakuamini ndio ndoa imevunjika. Jamaa anasema baada ya hapo akampa lift kumrudisha kwao, kufika maeneo ya External Jamaa gari yake ikagongwa but walikua safe.

Hadi Leo unaambiwa mwanamke analalamika kuwa hajui SABABU gani ilimpelekea kumshurutisha Jamaa Hadi ndoa ikavunjika. Jamaa ameoa na ana watoto na maisha yakaendelea.
Kunawakat Haina budi kusema aende maana inakuwa Haina maana ya mke tena
 
Don't give up on the person your becoming!!
Screenshot_20240706-092952~2.jpg
 
Sasa na hapa ndipo pamekua pakinichanganya zaidi, yan inakuaje mama yao hayaoni wala hayafikirii haya masuala?????
Umeona sasa? Mnaenda kumfanya huyo binti aone mahusiano ya ndoa ya hovyo..!!

Mkeo itakuwa amekurupuka kudai talaka ila atajutia na itamtesa sana baadae..!!

Mkuu km kuna uwezekano wa kuahirisha maamuzi fanya hivyo kwa mustakabali wa watoto wenu..!! Mkishindwa sana gawaneni vyumba mlee mtoto.

Unajua kinachoenda kutokea? Wewe utaanzisha familia na mwanamke mwingine, na mkeo nae ataanzisha familia na mwanaume mwingine..!!
Hapo mtawaweka katikati watoto wenu, wakiwa kwa baba wanakuta mama mwingine na watoto wake, wakiwa kwa mama wanakuta baba mwingine na watoto wake..!!! Hao watoto watakuwa na huzuni miaka yote.. 😥

Wewe ndo unajua maumivu unayoyapitia, sie wengine tunaandika tu.
Akili zitamrudi baadaye.
 
HOnestly sina mpango huo mkuu. Na hii ni kwaajili yao hapo badae. Maana najua mama yao yeye plan yake ni kuishi na mtu sasa mimi siwez tena hizo habar zitakua zinamalizwa juu kwa juu.
Unajidanganya ni hasira tu, bora mwanamke anaweza kuwa hivyo sio mwanaume..!!
Usiwasikize hao kataa ndoa ni waongo wote wameoa wana wake zao ila hapa ni sehemu ya kutolea stress zao..!! Muda utafika lazima utahitaji mke tu.!

Mwanamke anaweza kufiwa na mumewe akavumilia kukaa bila kuolewa tena lakini sio mwanaume..!!

Mkuu mimi sikulazimishi mrudiane ila mmeweka doa kubwa sana kwa watoto wenu niamini mimi..!
 
Hakuna furaha ya dhati kwa watoto Kama kuwaona wazazi wao walkways wamoja, hata Kama hawana kitu!
Ikishindikana kama hii ya mtoa mada, basi kuwa na uhakika hakuna namna itawafurahisha watoto wao, lawama zote zinaenda kwa mwanamke, ameamua kuwa mpumbavu kwa mambo yake ya hovyo hovyo (ikiwa msimuliaji amesema kweli)
Hatma ya watoto wao imeshaingia dosari, japo wanaweza kufanya vizuri kabisa na wakafikia ndoto zao kwani Mungu anafanya yaliyowashinda wanadamu!
Hapo ni watoto ndo watateseka..!!
Madhara watakuja kuyaona baadae sio sasa.
 
Sasa hivi utakuwa mpya 😆 utashangaa ulikuwa unang'ang'ania nini kwenye tanuri la moto. Ndoa ni nzuri ikiwa kila mmoja anafanya effort inawiri na kustawi lakini ikiwa one sided inachosha kuliko rejesho la mkopo wa gari. Tafuta sehem ukapumzike utafakari kisha usonge mbele. Wanandoa wengi huwa hawajifanyii self evaluation kazi kulalama tuu.
 
Back
Top Bottom