Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
Daaah huo u DC aliupataje? Hakutoa yale mambo kweli?Usimkuze mtoto wa watu ndio kwaaanza ana miaka 24 na wala sio single mom.... usihadahike na mwili huo.
Fatilia Dc mdogo kuliko wote Tanzania.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Paka kwa kiasi mama.. sio unajikandika mpaka unatisha.. halafu kuna watu ni wazuri zaidi wakiwa hawana make up kama mh DC hapo.Aisee wanaume wa tz nimewashindwa Mi ndiyo maana sipakagi hayo kuogopa kujadiliwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kila mtu na mtuwee... Van ni mzuri hasa ila hata bibi harusi sio mbaya labda sababu ni mnene kupitiliza.Namshangaa kaenda kuoa dubwasha kama lile, hawaendani hata kidogo.
Sijui yani nani atatupa sisi... wanataka tuolewe na wabaya wenzetu tuzidi kuongeza idadi ya wabaya duniani. Ila kwa Zainab na Abdul watazaa watoto wazuri sana.Kayoka... sasa wabaya wataolewa na nani??
umenikumbusha mbali saanaaEnzi zile kigeti hakijazibwa teh...heri yao.
ukikoment pupa unajibiwa pumbaJibu hoja[emoji3]
Siri ya kambi..... hahahaha
Badala uwape hongera unatamani waachane sema mashaallahNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
He he heeNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
hana ushombe wowote huyo dem meweuc wacha kupagawa na make up n filterMake up ya kiarabu hiyo, mtoto shombe.
Na hivyo ni DC naona alipania kuwakogaa.
Wakerekwao shauri zao, make up haiwazuii maharusi kuimarisha ndoaa.
hana ushombe wowote huyo dem meweuc wacha kupagawa na make up n filter
Make up zimemzeesha sana
myb uwe na maana nyingine ya ushombe,co tatz mwamba wang tambaza kanyoosha xn goti na mageton alikuwa hakauki#so tunamdereNaongea kwa sababu namjua
Acha kuwatia Maharusi wetu Mikosi....!!Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Shangaa na wewe, kawa mweusi lini jamani? Zainab ni mweupe sana utasema shombeNaongea kwa sababu namjua