Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatumia mbinu ileile kukemea pepo mchafumzee alitupa furaha sana enzi za utawala wa jiwe.
kauli zake na namna alivyokuwa anakemea watendaji wa chini yake, badala ya kuwa kero ikawa burudani.
Mungu amsimamie na kumuongoza ktk majukumu yake nje ya siasa.
Shetani ni jambazi kuu anayetumiwa na maccmkumtumikia Mungu kuna faida kwa mujibu wa biblia.Hongera kwakwe kamsomeshe shetani namba
Ina maana fedha za utumishi miaka zaidi ya 30 zimeisha?Kulima hawezi kaona hiyo iwe njia yakuwakamua wanazengo pesa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Sio hela tu kilakitu mana hadi afikie kwenye state hiyo ,ukisikia kuvurugwa ndo hukoIna maana fedha za utumishi miaka zaidi ya 30 zimeisha?
Huyu Mzee amekuwa waziri,mbunge,mkuu wa mkoa,na unaweza kukuta hana hata shughuri iliyoajiri vijana hata wawili,unaweza kukuta anaishi kwa pensheni.Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.
Alishatemana na godfather siku nyingi.Huyu mzee ana stress za kustaafu
Wale waliopo siha wana mengi ya kusema huu ya hili
Teuzi hakuna tena god father is no more
😂 😂 😂Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.