Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ANAZEEKA VIBAYA
Mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache shambani mwa BWANA. Binafsi pia ni mtumishi wa Mungu hivyo nimefurahi sana kusikia mzee wetu amekuja shambani mwa BWANAHakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.
Nakataa mkuuNi jambo jema!
Noma sanaMaisha yanaemda kasi sana uyu kawa katibu mkuu siku 31 tu, mwingine kawa mkurugenzi masaa 12 tu, mwingine karudi kanisani kumtumikia bwana
Hapo Sasa!!Aongozwe sala ya toba Kwa kumtaka Mungu amshukuru mwenda zake.
Ni Mchungaji wa Kanisa gani?Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.
Umeona eenhh?!!,Huyo jamaa mjinga sana, unless km alitubu hawa kwa kauli zao inawezekana wamesababisha Mungu achukie Hadi kuamua kumtwaa jiwe, maana walisifu na kuabudu kwa kiwango cha juu mno wakasahau Kumpa Mungu Utukufu.Anawaandaa watu kuwaelekeza kwa Mungu yupi,au yule yule ambaye anatakiwa kumshukuru magu kwa uongozi mzuri
Km Kweli ni Mchungaji,basi anazeeka vizuri,Ili mradi km amedhamiria Kweli kutoka moyoni kumtumikia Mungu.ANAZEEKA VIBAYA
Huyu si ni Mbunge pia?.Huyu mzee ana stress za kustaafu
Wale waliopo siha wana mengi ya kusema huu ya hili
Teuzi hakuna tena god father is no more
Tanzania Ni TajiriKajiongeza
Hivi Kuna mtu amemdhihaki eenhh???Kabla hujamdhihaki mtu kasome maandiko matakatifu ujifunze vizuri. Mfano kaangalie wale mitume walikotokea. Pia mtazame mtu Kama Paulo alikotokea. Kwangu sioni ajabu kwani Mungu ana njia zake ambazo wewe mwanadamu huwezi muelewa Kama hupo karibu naye. Pia utumishi kwa Mungu upo wa namna nyingi sana hata huko serikalini unaweza ukakuta aliwekwa na Mungu kumtumikia kwenye nafasi hiyo. Nimeshuhudia kwangu mwenyewe hata kwa mke wangu Kuna taasisi alituweka kwa maelekezo yake mwenyewe akitutaka tufanye kazi Fulani kwenye ile taasisi.