Hatimaye Aggrey Mwanri awa Mchungaji rasmi. Sasa ukisikia soma hiyoo! Ujue ni somo la Injili

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hakuna namna itabidi tu niende kanisani kwake
 
Kwa warutheri Hilo joho huvaa wainjilisti ama muhubiri wa siku hiyo. Mwamri alilivaa Sana huko tabora maana alikuwa akihubiri sa sijui Kama kweli ameenda kuwa muinjilisti kabisa
 
Mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache shambani mwa BWANA. Binafsi pia ni mtumishi wa Mungu hivyo nimefurahi sana kusikia mzee wetu amekuja shambani mwa BWANA
 
Anawaandaa watu kuwaelekeza kwa Mungu yupi,au yule yule ambaye anatakiwa kumshukuru magu kwa uongozi mzuri
Umeona eenhh?!!,Huyo jamaa mjinga sana, unless km alitubu hawa kwa kauli zao inawezekana wamesababisha Mungu achukie Hadi kuamua kumtwaa jiwe, maana walisifu na kuabudu kwa kiwango cha juu mno wakasahau Kumpa Mungu Utukufu.
 
Hivi Kuna mtu amemdhihaki eenhh???
 
Acha usushi. Uliza uambiwe. Hilo sio vazi la kichungaji. Hilo Ni vazi la muinjilisti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…