Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Haki ya mamaWe sema kweli bana?[emoji2]
Mkoa wanaotoka waifu matirio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya mamaWe sema kweli bana?[emoji2]
Wagogo wanazingua sana aisee.Hahahahah si kama akina MC Pilipili
Mkoa gani wanatokea wife material nikajinyakulie mmojaWagogo wanazingua sana aisee.
Kuanzia tu pale jijini Dodoma..sijawahi kuona mkoa una ombaomba wengi namna ile[emoji119]
Too much is harmful.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nyanda za juu kusini.Mkoa gani wanatokea wife material nikajinyakulie mmoja
Ni nomare 😂😂😂Wagogo wanazingua sana aisee.
Kuanzia tu pale jijini Dodoma..sijawahi kuona mkoa una ombaomba wengi namna ile[emoji119]
Too much is harmful.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hahahahah basi uko njemaHaki ya mama
Mkoa wanaotoka waifu matirio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
mkuu mkikuyu dawa yake mchaga tu broo..trust me! Hakuna kabila linamuweza mwanamke wa kikikuyu bongo...ni Mnagi tuHuyu mgogo naye fala. Alidhani wakikuyu angewaweza? Kesho utasikia kadandia mchaga.
Mwanzo nilikuwa natoa hadi nakosa ya kutumia.Ni nomare [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo babe sisi mmetuonea na mnatucontrol eeh, tena wewe inabidi umpate huyo wa kumpea stress😀😀🙌Na hizi hela ndio chanzo cha mahusiano kuyumba 😂😂😂!!! Kum control mwanamke wa kikenya mwenye hela zake uwii inataka moyo wa chuma! Maana yale majitu ni mababe by default!
Unaambiwa okay nishatembea nae so what, beat the hell wacha kunipea stress!!
Hahahah dem ako na ubabe mwingi ka Batista au John CenaKwahiyo babe sisi mmetuonea na mnatucontrol eeh, tena wewe inabidi umpate huyo wa kumpea stress😀😀🙌
Na ndiye anayekufaa huyo😀😀akonyoosheHahahah dem ako na ubabe mwingi ka Batista au John Cena
Wacha nikomae na wewe tu baeby wangu from green city! Unanibariki sanaNa ndiye anayekufaa huyo😀😀akonyooshe
Sitaki mimi, umesema kabisa sisi wabongo mnatuonea ni wapole😏Wacha nikomae na wewe tu baeby wangu from green city! Unanibariki sana
Hatuwaonei bana, tunawapenda sana wanawake zetu wa Ki TiziiSitaki mimi, umesema kabisa sisi wabongo mnatuonea ni wapole😏
Kumbe huwa mnatusingizia bure sisi wanawake wa tz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hizi hela ndio chanzo cha mahusiano kuyumba [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Kum control mwanamke wa kikenya mwenye hela zake uwii inataka moyo wa chuma! Maana yale majitu ni mababe by default!
Unaambiwa okay nishatembea nae so what, beat the hell wacha kunipea stress!!
Alibadili baada ya kufunga ndoa..Hivi ni serious au wanaleta kiki zao? Kuna picha zilisambaa amebadili dini na kuwa muislam ,ila hapa mnasema amefunga ndoa kanisani how?
Itabidi unipe namimi maana nakuja kuomba hio!Mwanzo nilikuwa natoa hadi nakosa ya kutumia.
Nikagundua kumbe ni kama kamchezo..
Nikawa natoa kwa watu ambao naona kweli huyu ana shida.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app