Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ataingia na mkokoteniSwaga 😂😂🔥
Sumbawanga ataingia kwa Ungo dadeki 😄😄😄
Jamaa yupo chaka kwa chaka, sijui ana agenda gani!
Mmepata kiboko wenu. Na bado, mtasema, bado sana mtasemaaa!Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Mbowe na Chopa yenu mmefikia wPiBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Chama Cha Mabwege hichoBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Kwanza ni kosa kisheriaBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Watu wanapenda hivyoSiasa za kizamani sana ila utashangaa zinavutia watu.
Kafanikiwa kuwa content hadi kwa wapinzaniHuyu anapanda tipa na wanachama wenzake nyie mnapanda chopa mahawara, ndg wa mbowe tu
Makonda ameweka presha juu sana ndg Kila siku amuishiwi kumwandika na kulialia
Ijayo anakuja na Fisi
Nimecheka kwa dharau sana !Huyu anapanda tipa na wanachama wenzake nyie mnapanda chopa mahawara, ndg wa mbowe tu
Makonda ameweka presha juu sana ndg Kila siku amuishiwi kumwandika na kulialia
Ijayo anakuja na Fisi