Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huo ni ushahidi kuwa wanaccm wengi ni wajinga. Upende huo usanii wa kitoto?Watu wanapenda hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ushahidi kuwa wanaccm wengi ni wajinga. Upende huo usanii wa kitoto?Watu wanapenda hivyo
Wananchi wenyewe wengi wametopea ujingani unategemea nini?Halafu huo usanii ndio unaitwa magufuli style kuwa ni uongozi wa wanyonge! Na usishangae kukuta wananchi wanajaa kingi kuwa huyo kiongozi ni mwenzao.
Afadhali sisi chama chetu tunatumia chopa kwenda kukutana na wananchi maskini wa kutupwa!Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
Yaani kitufe wewe sikupendi bora tu ungesafiriNimecheka kwa dharau sana !
wewe ndo yule mchaga mjinga.bure kabisa.Huyu anapanda tipa na wanachama wenzake nyie mnapanda chopa mahawara, ndg wa mbowe tu
Makonda ameweka presha juu sana ndg Kila siku amuishiwi kumwandika na kulialia
Ijayo anakuja na Fisi
wewe ndo umesahau.Kwani wewe mechi ya simba na yanga unaizungumzia kila siku?Hebu punguza ujinga.Watoa taarifa washasahau hoja ya bandari,sijui tume huru,sijui nini
Wakilala wakiamuka habari ni MAKONDA
Heko kwa wale wote waliopendekeza jina lake kwa ajili ya uteuzi
Aahaaaa
Mbuyu hauangushwi hivyo.Labla kwa nyenzo.kua kuakili.Ata Ruto aliangusha Mbuyu kwa kampeni zake za kupanda torori.Endeleeni kumpinga Makonda tutakutana hapa jukwaani baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Itakua una mimba ya lissu wewe.Ambacho hujui nikwamba huyo makonda nawengine wengi watakaoungwa mkono ndio ndio atakayeizika hiyo ccm yako.upe muda nafasi.Makonda ameshika kende za Lisu
Chama kinachotumia chopa hakina wafuasi wajinga.jitafakariAfadhali sisi chama chetu tunatumia chopa kwenda kukutana na wananchi maskini wa kutupwa!
Ujonga una mwisho.Na wajonga wanazidi kupungua kila kunapokucha.wajinga wangekua hawapungui ccm na serikali yake isingepeleka mswada wakijinga unaohusu mambo ya uchaguzi bungeni.Ata wao wanajua hali ilivyo ndo maana wanatapatapa.Mtaji wa ccm ni ujinga watanzania wenyewe
Sheria zinavunjwa hadharani na hakuna aa kufanya lolote.Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
tatizo ni kuwa hatuna Upendo na tumejaa unafki na chukiHivi hawa Viongozi hasa wa CCM huwa wanawaona Wananchi wana uwezo wa kufikiri angalau kidogo tu?
Aisee.. hataree...Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Basi Makonda ana haki ya kuipuuza hiyo "sheria."Baada ya wafuasi wa CCM kufariki kwenye ajali ya lori lililokuwa limewapeleka mkutanoni jeshi la polisi lilipiga marufuku matumizi ya malori kubeba abiria, Makonda yuko juu ya sheria?
Bwashee, nani kazungumza habari ya wanachama? Au uelewa nao ni tatizo?!
LOOoooh!Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si apate ajali afe manina katuona manyani ndio maana anakuja na lori la mchanga[emoji23][emoji23][emoji23]