Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Endelea najua bila Mbowe upumui Wala mlo wako utakua tabuNimecheka kwa dharau sana !
dogo bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea najua bila Mbowe upumui Wala mlo wako utakua tabuNimecheka kwa dharau sana !
Hahahaaa....Kufukia mashimo yaliyochimbwa na TAL
Angekuja hata kwa basi la tujue tupo pamoja kama yesuYesu alipowaosha miguu wanafunzi wake haikuwa na tafsiri ya kuwa amezoea kuwaogesha Kila siku. Zaidi vitendo kama hivi vinatufunza na ni ishara ya kunyeyekea, kuwaunga mkono wananchi ili tukishakuwa wamoja kwa lugha Moja tupambane kutatua changamoto zinazotukabili kwa pamoja.
AahaaaaSwaga 😂😂🔥
Sumbawanga ataingia kwa Ungo dadeki 😄😄😄
Choki vs Banza Stone
Watoa taarifa washasahau hoja ya bandari,sijui tume huru,sijui niniKafanikiwa kuwa content hadi kwa wapinzani
Anapromote umasikini na ufukara wa mawazoBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Ata Ruto aliangusha Mbuyu kwa kampeni zake za kupanda torori.Endeleeni kumpinga Makonda tutakutana hapa jukwaani baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa!Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Baada ya wafuasi wa CCM kufariki kwenye ajali ya lori lililokuwa limewapeleka mkutanoni jeshi la polisi lilipiga marufuku matumizi ya malori kubeba abiria, Makonda yuko juu ya sheria?Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Acha wivu Makonda kashawamaliza kila KITUBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Anaeneza itikadi ya chamaJamaa yupo chaka kwa chaka, sijui ana agenda gani!
Duh....Swaga [emoji23][emoji23][emoji91]
Sumbawanga ataingia kwa Ungo dadeki [emoji1][emoji1][emoji1]
Choki vs Banza Stone
Anamtafutia mama kura za kanda ya ziwaJamaa yupo chaka kwa chaka, sijui ana agenda gani!
Ya kuisafisha CCMJamaa yupo chaka kwa chaka, sijui ana agenda gani!
Nyie si mmeishia kwenye mitandao, wenzenu wanazifikia kura za uhakika kwa mbinu zote. Mtashangaa uchaguzi ujao mkaambukia namba za viatu. Jifarijini na club houses zenuBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Wanapenda ni kwa sababu ya ujinga walio achiwa na CCMWatu wanapenda hivyo
Kabisa kabisaWanapenda ni kwa sababu ya ujinga walio achiwa na CCM
Halafu huo usanii ndio unaitwa magufuli style kuwa ni uongozi wa wanyonge! Na usishangae kukuta wananchi wanajaa kingi kuwa huyo kiongozi ni mwenzao.Hivi hawa Viongozi hasa wa CCM huwa wanawaona Wananchi wana uwezo wa kufikiri angalau kidogo tu?