Utakufa umuache mbwea Mwe kundu weeSi apate ajali afe manina katuona manyani ndio maana anakuja na lori la mchanga😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakufa umuache mbwea Mwe kundu weeSi apate ajali afe manina katuona manyani ndio maana anakuja na lori la mchanga😂😂😂
Siasa ni shule isyo na formula.Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Huna sababu ya kunipa pole hata kidogo, kwa sababu maandishi yako humu yamejaa tele na yanajulikana ni wapi unakopimiwa urefu wa kamba yako.Jamii niliyoilenga imenielewa vizuri sana. Wewe kama hauko kwenye hilo kundi lengwa huwezi kuelewa, pole sana.
Naona mke wa mtu kafika pole mama nanii1Utakufa umuache mbwea Mwe kundu wee