Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
RubbishYesu alipowaosha miguu wanafunzi wake haikuwa na tafsiri ya kuwa amezoea kuwaogesha Kila siku. Zaidi vitendo kama hivi vinatufunza na ni ishara ya kunyeyekea, kuwaunga mkono wananchi ili tukishakuwa wamoja kwa lugha Moja tupambane kutatua changamoto zinazotukabili kwa pamoja.
Duh!Mmepata kiboko wenu. Na bado, mtasema, bado sana mtasemaaa!
Mbona husemi kwamba kule kanda ya Mbeya, Tulia, raisi wa mabunge yote duniani katinga huko na ndege ya kijeshi (Mig 23)? Na bado .....
Na mbona husemi, yule diaspora anayetaka kugombea urais wa nchi yetu, katinga kimya kimya kwa mguu kituo cha polisi Arusha akitokea kwao Marekani?
Raia walikwisha somewa waraka wa TEC kwa wiki 6 mfululizo kuhusu ubaya wa IGA. Pasipo ufafanuzi wa kina, mikataba mitatu ya HGA kuhusu uwekezaji tata wa DP World ikasainiwa kisanii kupitia hadaa, majigambo, tambo na kejeli nyingi sana ndani yake.Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Unayo kumbukizi yoyote unayoweza rejea, mkuu 'Prved', katika hizo "Siasa za kizamani sana" zinazofanana na usanii huu?Siasa za kizamani sana ila utashangaa zinavutia watu.
Kama zinavuta watu basi siyo za kizamani.Siasa za kizamani sana ila utashangaa zinavutia watu.
Wewe ni nani wa kutupangia cha kulalamika? Ni haki yetu kikatiba kutoa maoni.Kama nyinyi mnaona wameharibu, kaeni kimya, msilalamike basi, si muwaachie wakosee ili nyinyi muweze kupata faida ya kisiasa.
Mi kweli. Mwen3zi aachwe aeneze upuuzi.Muacheni Mwenezi afanye kazi
Hivi CCM inasafishika kweli!Ya kuisafisha CCM
Naona anafanya ziara nchi nzima.Anamtafutia mama kura za kanda ya ziwa
Ova
Sasa Bashite anaubunifu gani kichwani naunajua fika vyeti vyake vilivyo.Bila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Watajua wao wenyewe maana waneshika dola na nchiHivi CCM inasafishika kweli!
Jengeni chama, MAKONDA asiwatowe kwenye reliBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Hadi useme πππBila shaka sasa Badala ya kukiaibisha chama chao Pekee, Wameamua kudhalilisha Taifa lote.
Lakini je, Wananchi hata kama ni wajinga watakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Yaani utumie V8 kwa maelfu ya KM halafu ushuke uendeshe baiskeli Mita 2 ili wananchi wanaoonekana Mbumbumbu wakuone uko kama wao, What a joke!
View attachment 2811458
Ndiyo mkuu, niko kote kote kutoa ushauri nasaha wa kitalaamu kwa vijana wetu wa sasa wa kitanzania ili wasidanganyike na kupotoshwa.Duh!
Na wewe umo kwenye haya!
Kwani siasa si ni futuhi? Mbona futuhi ya Mbowe na yule Diaspora wnanchi walikuwa inawaburudisha? Sasa Makonda kaifanya futuhi ya ccm kuwa kiburudisho kizuri zaidi, cha kiwango wa 5G. Pole sana rafiki yetu kwa 5G na Makonda. Acha kulialia.Futuhi limetaamalaki....
Mbona ni kama nawe ni mshiriki katika hayo ya kudanganya na kupotosha; au nimekusoma vibaya? Sioni 'objectivity' yoyote katika hayo uliyo andika pale.Ndiyo mkuu, niko kote kote kutoa ushauri nasaha wa kitalaamu kwa vijana wetu wa sasa wa kitanzania ili wasidanganyike na kupotoshwa.
Wakitaka ktufrahisha, wapingze gap ktk mishahara. Katiba inazungmzia nch kuwa ya demokrasia na kijamaa-uongo mtupuYesu alipowaosha miguu wanafunzi wake haikuwa na tafsiri ya kuwa amezoea kuwaogesha Kila siku. Zaidi vitendo kama hivi vinatufunza na ni ishara ya kunyeyekea, kuwaunga mkono wananchi ili tukishakuwa wamoja kwa lugha Moja tupambane kutatua changamoto zinazotukabili kwa pamoja.
Jamii niliyoilenga imenielewa vizuri sana. Wewe kama hauko kwenye hilo kundi lengwa huwezi kuelewa, pole sana.Mbona ni kama nawe ni mshiriki katika hayo ya kudanganya na kupotosha; au nimekusoma vibaya? Sioni 'objectivity' yoyote katika hayo uliyo andika pale.