Hatimaye CCM imeishiwa kabisa ushawishi? Hebu angalia haya mambo yaliyopitwa na wakati

Siasa ni shule isyo na formula.
 
Jamii niliyoilenga imenielewa vizuri sana. Wewe kama hauko kwenye hilo kundi lengwa huwezi kuelewa, pole sana.
Huna sababu ya kunipa pole hata kidogo, kwa sababu maandishi yako humu yamejaa tele na yanajulikana ni wapi unakopimiwa urefu wa kamba yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ