Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Kifo cha Akwilina kinafanana na machafuko ya Kenya 2007? Hii Chadema yetu imejaa watu gani?
Walimmaliza kijana wa watu na mambo yalisha mwendea vizuriNimejikuta tu namkumbuka Deo Filikunjombe.
Hiyo ipo special kwa safari ya kwenda Ngara. Kipande kile cha barabara hakipaswi kuonekana.Wakati Chadema wamejiandaa kutumia chopa na kisha kuzuiwa...Polepole alisema wao wanatumia barabara ili wakutane na wapiga kura.
Leo imekuaje tena?
😁😂Si walisema wanaotimia chopa hawayaoni matatizo ya Wananchi kwa uhalisia?
Magari yameishiwa pumziKwahiyo kutumia chopa ni kuishiwa pumzi?
CHADEMA ina watu wengine wa hovyo kabisa mmoja wapo ni wewe
Ameshtuka kuwa watu hawali hayo mapushapu yake wala madege.Unahamu kumuona akipiga push up
kwani katiba inasema hivyo? jikumbushe wakati wa MkapaHapana hili lisitokee! Pombe ikimwagika tutaahirisha uchaguzi halafu majamaa yakajipange upya! Twende na Pombe yetu tu mpaka mwisho!
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Pumzi imekata wanajaribu ku copy and pestWakati Chadema wamejiandaa kutumia chopa na kisha kuzuiwa...Polepole alisema wao wanatumia barabara ili wakutane na wapiga kura.
Leo imekuaje tena?
Leo wewe sio nwanachadema?.Kifo cha Akwilina kinafanana na machafuko ya Kenya 2007? Hii Chadema yetu imejaa watu gani?
Kumbe Lisu naye alikata pumzi alipotaka kutumia chopa.Mzee baba moto umekata! Yale yale ya Ruangwa!
Kifo cha Akwilina kinafanana na machafuko ya Kenya 2007? Hii Chadema yetu imejaa watu gani?
Wapinzani muuawe kwa sababu gani?
Helicopter hiyo haitatumika na Mgombea wa Urais kwenye kampeni bali itatumika na Baadhi ya wagombea wa viti vya Ubunge,Mgombea wa Urais atatembea kwa Usafiri wa gari ili kufanya coverage kwenye mitaa na vijiji vyote.
Kuna maeneo unaweza kuendesha gari mwendo mrefu bila kuona watu, pia kuna maeneo mengi Magu katembelea hivi karibuni kabla ya kampeini kuanza na mwisho kabisa natambua pole pole ni mwanasiasa na kwakweli unahitaji kuwa na akili ya Hali ya juu Sana kumwelewa Politician..anakufanya uwe mwanafalsafa Kwa kumsikiliza ili uchambue ni lipi anasema ukweli na ni lipi anapiga politik.. Huwezi kuwa na akili ya wastani ukamwelewa mwanasiasa, ni either uwe shallow au smart kuishi na mwanasiasa.Wakati Chadema wamejiandaa kutumia chopa na kisha kuzuiwa...Polepole alisema wao wanatumia barabara ili wakutane na wapiga kura.
Leo imekuaje tena?