Hatimaye Chief Godlove abambwa. Adaiwa kupost hela feki mitandaoni ili kuwahadaa watu kwamba ana hela

Hatimaye Chief Godlove abambwa. Adaiwa kupost hela feki mitandaoni ili kuwahadaa watu kwamba ana hela

Hela sio tatizo, anafanya nini? Ni Eron musk, mark Zuckerberg, mtoto wa rais au kitu gani?
Pesa haitaki kelele,kwenye kelele hakuna hela,
Angalia Masaki na kawe, Kule Dar, au Chaduru na Kisasa Dodoma, au Unga limited na Njiro,
Mbambamba tu, wapo vijana bongo wanamiriki makampuni ya tekinolojia wana pesa ndeeefu, Ila hutawasikia na makelele kama hawa mbwiga.
 
Chief Godlove ame bambwa. Kuna video ina sambaa mtandaoni iki mu expose Chief Godlove . Katika video hiyo chief anaonekana akiwa na hela ambazo ukichunguza vizuri utagundua kwamba ni note moja ya elfu kumi kwa juu ila kwa chini ni vimbao. Ukitazama vibaya unaweza kufikiri ni mabulungutu..

Maisha ya mtandaoni ni fake as hell

View attachment 2769391
sisi bado barbaric sn , kwamba mtu akijisifia ana hela bas hilo ni ttzo , hii ni ishara kuwa tuna jobless weng na badala ya tupambane twende juu ila sisi tunaangaika kujuana na maskin wenzetu
 
Gari wanakodisha wanaigizia Mchezo ukiisha wanarudisha michezo hio ipo maeneo mengi tena kuna wenye magari hua wana watu wa kuyafuata kabisa mda ukiisha km unavyokodi room lodge au hotel unalipia mda ukiisha aidha unaongeza siku au unarudisha room ndio sawa na magari yanakodishwa maeneo mengi tu
ww una hela ya kukodisha gar?
 
Iwe ni ukweli au uongo kila mtu ana maisha yake. Ukiangalia sana maisha ya watu utashindwa kuishi ya kwako.
Zaidi sana anatia vijana presha kutafuta hela wakati mwingine kwa njia zisizo halali na mwisho wake ni mbaya. Kuna watu siwezi kuwafuatilia kabisa simply kwa sababu hata sidhani kama anatoa mbwinu za kutafuta hela. Sanasana ni makelele ya kutafuta hela ambayo hayana maelekezo yaliyonyooka bali mafumbo yasiyokuwa na majibu.
Kama anatoa plan za kufanikiwa sawa lakini kama anabwabwaja kwamba 'tafuta hela' bhas abaki na utajiri wake.
Tatizo anaonesha hela ila mishe za kupata hizo hela hana au hazioneshi , si ushoga huo[emoji23]
 
Sasa sielewi mtu kama anaigiza kwanini ashikwe?

Kwani alizitumia hizo pesa feki?
Nope hajashikwa isipokuwa tu amestukiwa na wana intaneti " the netizens" anajifanya ana hela anawatukana masikini kumbe anaweka elfu kumi juu ya vimbao na chini watu wakiona waone ana maburungutu
 
Gari wanakodisha wanaigizia Mchezo ukiisha wanarudisha michezo hio ipo maeneo mengi tena kuna wenye magari hua wana watu wa kuyafuata kabisa mda ukiisha km unavyokodi room lodge au hotel unalipia mda ukiisha aidha unaongeza siku au unarudisha room ndio sawa na magari yanakodishwa maeneo mengi tu
all these things zinahitaji pesa au mbona mnazungumza kama ni kitu kila mtu anaweza?

How many times amepost video yukokwenye ndege?

Hiyo video yake ya vimbao watu wameona mbao tu ila hawakuona pesa, sisi wabongo tuna matatizo mengi.
 
Hii thd kama imeanzishwa na mdada basi ni jambo la kawaida ila kama imeanzishwa na mtu mwenye ndevu zake,basi inasikitisha sana.
Kweli inazikitisha Bro, this shows how men wamekosa kazi,

Kama mtu anadhani kufake maisha humu ndani ni rahisi na yeye akafeki maisha,

Hakuna mtu atakukodishia RR au MB kwa 20k, Nauli za ndege mnazijua, hotel na appartment classic mnazijua bei zake.
 
Back
Top Bottom