Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Hao sio matajiri kaka yangu kuna Jamaa alikuwa anawanywesha watu Baa anasema anaesomesha watoto shule ya bei mbaya hamna kitu kuulizwa akasema saint Mary's. Wakati kuna watu wanasomesha IST, HOPAC, BRAEBURN, wamekaa kimya. Mungai amesomesha ISM lakini humsikii popote. Tajiri kweli yaani siyo rich tu bali Super Rich na Mega Rich wanabaki kuwa kimya kwa hapa Tanzania. na huwa hawasikiki popote wapo busy na mambo yao. Nchi hizo ina Matajiri wakubwa sana ila ndiyo hivyo vijana hatujishushi na tunapenda haraka. Ila hawa wazee ukikaa nao fresh wanakupa michongo kiroho safi. Na inachukua muda sana mpaka akuamini.