mzee wa mazabe
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 843
- 627
Mjumbe mara nyingi auwawi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Umeleta taarifa au umbea.Ficha maladhi basi hata kidogo we unaelewa nin kuhusu mikataba ya madini acheni utoto asee watu wanawageuza wananchi kama mpira wa kuchezea afu unaleta propaganda.
Bila shaka hujielewi majira yanavyoenda,mikataba ndiyo lissu anawakumbushia wakati mkisema ndiyoooooooooo,,,kwa sasa mmebanwa nayo mpaka mmetoa macho kodo,,aibu yenuuu, ,Mungu ibariki chadema itengue mikataba tuachane na longo longo,Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.
My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.
Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.
Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.
Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Je ukilala moja kwa moja bila ya kuamka?Sawa. Jumatatu Si tukilala tukiamka TAYARI???
Amekula hela za accacia bila kuwasaidia upinzani wa bongo njaa tupu,,mbona lowasa haongelei kuhusu hili sakata!?Lisu akimbie nchi? Kwa kosa gani au ana tuhuma gani za kufanya akimbie nchi? Kama alimwita JPM Dikteta uchwara na hakukimbia leo atakimbizwa na nini hasa?!?!
Kuna watu mnachukulia poa sana vitu ambavyo ni serious...Hii game siyo ya kuzungusha mikono...ni serious business
INAKUA BASI TENA Mkuu.Je ukilala moja kwa moja bila ya kuamka?
Kutojua siyo an excuse ya kuwajibika. Na viongozi waliopita all most wote ni PhD holder isipokuwa Mwinyi. Kwa hiyo huwezi kudai hamkuwa na uelewa.Enzi hizo si hatukuwa na uelewa kwa sasa tunaweledi wa kuelewa tunaona lisu ni mtetezi wa wezi,,
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.
My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.
Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.
Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.
Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
TAKATAKA!!Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.
My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.
Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.
Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.
Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Lakini kama mtu ni mwizi katuibia mumemuachaje akakimbia wakati alitakiwa akamatwe na kuwekwa lupango?.
Unauliza mbona Lowassa haongei kuhusu hili sakata? Mkapa ameongea? Kikwete ameongea? Mwinyi ameongea? Siyo lazima waongee!Amekula hela za accacia bila kuwasaidia upinzani wa bongo njaa tupu,,mbona lowasa haongelei kuhusu hili sakata!?
Angevumilia mpaka kesho tusikilize ripoti kwa pamoja ndo akimbie
Inshaa Allah tuombe uzima mkuuINAKUA BASI TENA Mkuu.
labda kwenye lori la jpm umeangalia nyuma. kama hutazami mbele huwezi elewa.Tutasiikia mengi mwaka huu!!
Hebu twende kwa staili ile ile ya uwasilishaji wa mada!!!
Kwahiyo serikali ya Mtukufu Rais John Pombe Magufuli imemwacha mwizi aliyekuwa ana-facilitate wizi madini yetu aikimbie nchi?!
Na huyo Kassimu Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa EWURA; taasisi yenye wajibu wa kutoa leseni kwa kampuni ya kifisadi inayolelewa na serikali ya chama cha Mtukufu Rais John Magufuli kwa zaidi ya miaka 20 hivi sasa!!!
Hivi kuna mtu anayeweza kunieleza tofauti iliyopo?! Manake ninachokiona hapa ni x na X lakini zote ni eksi!!!
Memeja wa Mgodi ni muajiriwa tu hajui habari ya mikataba. Na Bulyanhulu imekuwa pamoja na migodi mingine mameneja wamekuwa wakiacha kazi wengi tu jambo ambalo ni la kawaida kwenye ajira, baadhi ya mameneja waliopita pale ni pamoja na Neil Witeker,Grant Piece, Michael Mracek,Bi Mechel na wengine wengiHatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.
My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.
Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.
Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.
Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]