Hatimaye Gerald Hando aaga rasmi kambi ya Ukapela

Fanya uoe binamu looh!!
hahahahaa!
 
Nilitarajia ungetaja basi hayo ya kujifunza! Binafsi, siyaoni manake matendo ya waliooa na wasiooa yanafanana! Mbaya zaidi, mmoja anafanya matendo ya kifedhuli wakati anataka kuiaminisha jamii kwamba yeye ni wa kupigiwa mfano!
binamuuuuu!!!mi napendaga mpangilio wako wa hojaa!!
 
Hichi ulichoandika mbona kama bongo movie
 
Pombe sasa mpaka aibu.
Kama wameweza kudumu mpaka sasa wameona, Mariam atakua ashampenda alivyo..... Mariam ndo atalala nae Kitanda kimoja, atampikia na kumpakulia . kama ni kero kwako, utakua umejipa mzigo usio kuhusu.
 
Wewe umeongelea ndoa kwa ujumla kuwa kuingia kwenye ndoa ni kuingia kwenye timu ya mafedhuli, hivyo usilalamike wakihusisha ndoa ya wazazi wako pia unless utuambia wewe ni mtoto wa nje ya ndoa!!
Nini kilianza kati ya wazazi na suala la mafedhuli? Au umekuta tu post unakimbilia ku-comment kabla hujajua imeanzia wapi?
 
Ina maana watu wa Clouds hawakushiriki hii harusi au sijaelewa?
 
Very true. Wanafanya kazi ya shetani bila kujua.
 


Maneno ya mtu mwenye kukosa mtu wa kumuoa utayajua tu! Kama wewe umekosa kubali tu lkn usitake kugeuza bahati mbaya yako kuwa ya wote!
 
Kuna mdada mmoja tu mwenye makalio makubwa nimemuona akifunga harusi jumapili iliyopita huko arusha. Hizi zingine vimbaumbau ndio naona vinafunga ndoa. Mtaani atasikia stori za akina dada wenye makalio makubwa, matukio ya harusi na ndoa utakuta ni akina dada wenye miili yao ya wastani......Hii inakuaje aisee!, au wengine ni chombo cha starehe wengne chombo cha kuwekwa ndani?
 
Yawezekana labda alikuwa anasubiri kwanza hadi AMREF wahakiki usalama ili waweze kutoa Cheti kilichokuwa certified pengine wiki mbili tatu zijazo Bibie asije " kujuta " na kuanza ratiba za kila Jumanne na Ijumaa kuhudhuria majengo ya Serikali.
Chichiman, wee cheti chako cha AMREF ushahakiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…