Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Fanya uoe binamu looh!!I would appreciate kama utaachana na suala la wazazi... uliza au hoji lolote kuhusu mimi na suala zima la kuoa! Ungeendelea kuwahusisha wazazi endapo ningesema wamenikataza kuoa lakini nimesema hawajawahi kuniuliza wala kunihimiza! They're smart, they know mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu! They know I know what's best for me! Unamhimiza vipi mtu mzima afanye jambo as if ni mtoto mdogo?! Enh, halafu huko makwenu, mkishahimizwa ndo tayaari mnaanza kutafuta mke hata kama mlikuwa hamjakusudia?!
hahahahaa!