Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Gwajima ni mpinzani halisi na anatumia mbinu ya hali ya juu kuhakikisha Jimbo la Kawe linabaki upinzani.Huu uhujumu anaowafanyia CCM ni wa kiwango cha juu mnoYeye na makonda washauri wao sijui kina Nani Mnyeti kagombea kwao na atashinda, hafu Gwajima kumbe ni mweupe hivi siasa imezalilisha utu wake Sana, na kawe hashindi labda atangazwe kinguvu