Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #41
Sio shida zao kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wabongo kwao kupanda kwa nauli sio issue!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio shida zao kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wabongo kwao kupanda kwa nauli sio issue!
Wanataka kusikia kalio la mtu limeonekana hata kula wanasahau!Sio shida zao kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo kma wa kariakoo ni bata mzoefu,hapo ni push to startMtoto wa kariakoo anajua sana kutafuta hela.
Wajanja tu ndio wanamuelewa
Aisee waislamu Wana raha sana[emoji4]Ndoa za kiislamu bana raha sana, Kila mwezi unaoa
[emoji23][emoji23]Ndoa za kafara hizo...
Anaiba nyota za wanawake anazitumia...
Hivi ukiibiwa unairudishaje mpendwa?Ndoa za kafara hizo...
Anaiba nyota za wanawake anazitumia...
Achana nae huyo mkuu unaupiga mwingi wewe na Nifah mpo on fire kwenye hii sector mnaleta habari yenye full detailsSawa
Kwanini?Wanawake kweli wana huruma!!😄
Sijaelewa unamaanisha nini weka vizuri sentensi yakoIf kuhangaika na Wanawake was a Person...Angekuwa Manara.
huu mzigo manara hauwezi, aache kulazimisha mambo. umri wenyewe umeenda. ila huyu binti anajua kweli kuchukua fursa za kiki, yupo strategic na atafika mbali bila shaka huko kwenye bongo movie.View attachment 2839534Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika .
Inaonekana Zainabu fundi sana naona ndugu yetu Haji Manara kakolea na penzi analopewa na Zai mpaka kaamua kuvunja kiapo chake cha kutooa tena mpaka anaingia kaburini.
Halafu imekuwa ghafla sana aisee hata miezi mitatu haijaisha Bugati kama Bugati kapagawa mpaka anatangaza ndoa 😂😂😂😂😂😂😂sisi yetu macho bwana.
Tunangojea mualiko twende tukale ubwabwa huku tunaweka notification on maana lolote linaweza kutokea kati yao maana wamekutana pipa na mfuniko halafu wote wapenda kiki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2839517
Ila JB naye mnafki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2839520View attachment 2839524
sidhani kama ni tapeli wa mapenzi, anavamia mizigo asiyoiweza, sasa kama kale katoto shombe ka shinyanga kalikomwaibisha, kalisema wazi kabisa kwamba kenyewe bado umri mdogo kanahitaji kufurahishwa, meaning, kanahitaji kupewa shoo za kueleweka. si mnaenda kujiaibisha tu huko? meaning jamaa hakukidhi viwango akaona hafurahii maisha.Kwa wazazi wenye uelewa mpana hawezi katu kumuoszesha bint Yao haji
Haji Ni tapeli wa mapenzi
Ushaambiwa Dunia ni starehe za muda mfupi, bado unataka kucomplicate nini mkuu.Aisee waislamu Wana raha sana[emoji4]
Wao nini kinawazuia kuiba nyota ya Manara?Ndoa za kafara hizo...
Anaiba nyota za wanawake anazitumia...