Hatimaye HAMAS yakiri kuuawa kwa makamanda wake watatu waliouliwa ndani ya handaki

Hatimaye HAMAS yakiri kuuawa kwa makamanda wake watatu waliouliwa ndani ya handaki

Uharo mwingine huu wa Musrael mweusi wa Makete.😂
Acha kujipendekeza kwa waarabu waliowahasi babu zako kama mifugo, mnatia kinyaa sana watumwa wa kujipendekeza, mwarabu na mzungu na myahudi wote wanatuona nyani tu hata uvae kanzu safi vipi.
 
Oya! Ukipata fursa pitia picha za Gaza uniambie nini utakiona pale, utadhani wamepigwa nyuklia, halafu wamepoteza watu zaidi ya 15,000 na raia wake wanateseka kwa kutegemea misaada, sasa hapo kwa mtu mwenye akili mlikua mnategemea nini haswa....
Mnavyolinganisha hamasi na Israeli, ndo ninao hamnazo kabisa. Hawalingin
Kwa idadi
Kwa zana za vita
Kwa uchumi
..wao wanapambana na dhuluma za mazayunu .kwa kila namna

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
je hayo mazombi yenu zaidi ya 15,000 mtayafufua? Na usisahau bado kipigo kiko pale pale, yaani nimejaribu kujiuliza mara mia naishia kucheka tu, nyie watu zaidi ya kuvaa mikanzu mna nini kingine mnachoweza...maana hata hizo hela za uarabuni ilikua kwa elimu ya mzungu kugundua mafuta.
Ww jamana huwa unashuda mahali upo ukrain mara huku Israel. Kama Malaya aliyekubuhu hivi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kuelewa mtoto mdogo ila israel kapata somo ndio maana kakaa na wanaume mezani baada ya miezi miwili bila ya mafanikio yoyote huku na yeye akificha aibu ya makamanda wake aliyotumia gharama kubwa kuwatrain kushindwa kuwaokoa mateka mbele ya mgambo
angetakaa mngenuna kakubali eti kapata somo , a wavaa kobaz
 
Mkuu Pande zote zimepata hasara! IDF imepoteza askari wengi kuliko unavyofikiri! Ingawa ni Ukweli usiopingika kuwa Hamasi wamepata kipigo ambacho kimegarimu askari na makamanda wengi!
vita isiyo na hasara ni ile ya kwenye muvi tu
 
Hao wazungu wenyewe hadi leo wanaenda kushangaa pyramids na kujiuliza zilijiengwa vipi kipindi amabpo hakuna mitambo na macrane

Bila wazungu yaani hao miungu wenu waarabu wangekua wanasota huko, leo hii mzungu ndiye anailinda hiyo Saudi Arabia ambako yule muarabu 'mungu' wenu alibuni hiyo dini.
Halafu hizo pyramids unazojivunia zilijengwa na Wamisri kabla hawajajiunga hiyo ambayo hudumaza akili, na kwa aarifa yako Wamisri sio Waarabu, basi tu waliachia waarabu wakaja kubadilisha mfumo wao wa maisha na kuwadumaza, ni vile vile tu hata Waajemi wa Iran, ni watu wenye akili sana sema hiyo dini imewachelesha sana.
 
Mnavyolinganisha hamasi na Israeli, ndo ninao hamnazo kabisa. Hawalingin
Kwa idadi
Kwa zana za vita
Kwa uchumi
..wao wanapambana na dhuluma za mazayunu .kwa kila namna

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app

Sikiliza, HAMAS wametuma rockets zaidi ya 5,000 kuelekea Israel, hebu tumia ubongo na ilmu ya dunia achana na hiyo ya madrassa, waza leo hii rockets 5,000 zielekezwe Dar, ukizingatia nyie hamuna mifumo ya kuzidungua kama walivyofanya Israel, kwa kifupi mngekua mumefutika kote kote maana kila rocket ingekua inapiga haswa.

Sasa rudi nyuma uwaze, hao HAMAS walikua wanatumia makazi ya watu kurusha hizo rockets, maana kwamba Israel ilikua na uwezo wa kurusha bomu moja tu lifagie kote, ila iliwabidi wawe makini wapi wanapiga.
 
Hujui kwamba muarabu ndio alianza civilization hapa duniani ndio maana nasema tatizo lako ni elimu huna unavhojua zaidi ya unacholishwa na wachungaji wa mbagala na movie, earliest civilization on earth ilianza midfle east na sio ulaya

Ona dini inavyokufanya uwe boya, Mesopotamia kabla ujio wa uislamu walikua wamestaarabika na wanafanya makubwa na waliishi watu waliokua wanaongea Akkadian, Eblaite, Elamite, Phoenician, Semitic, and Sumerian
Huyo 'mungu' wenu muarabu aliwadumaza na hiyo dini yake na kusababisha ujinga ukafika mpaka kwenu nyie hapo Tandale.
 
Ona dini inavyokufanya uwe boya, Mesopotamia kabla ujio wa uislamu walikua wamestaarabika na wanafanya makubwa na waliishi watu waliokua wanaongea Akkadian, Eblaite, Elamite, Phoenician, Semitic, and Sumerian
Huyo 'mungu' wenu muarabu aliwadumaza na hiyo dini yake na kusababisha ujinga ukafika mpaka kwenu nyie hapo Tandale.
Iraq na syria wanakaa wazungu???
 
Bila wazungu yaani hao miungu wenu waarabu wangekua wanasota huko, leo hii mzungu ndiye anailinda hiyo Saudi Arabia ambako yule muarabu 'mungu' wenu alibuni hiyo dini.
Halafu hizo pyramids unazojivunia zilijengwa na Wamisri kabla hawajajiunga hiyo ambayo hudumaza akili, na kwa aarifa yako Wamisri sio Waarabu, basi tu waliachia waarabu wakaja kubadilisha mfumo wao wa maisha na kuwadumaza, ni vile vile tu hata Waajemi wa Iran, ni watu wenye akili sana sema hiyo dini imewachelesha sana.
Sasa hiyo ni akili? Eti wamisri siyo waarabu , kuna haja kweli ya kuendelea kujibishana na wewe? Ok kwa hiyo misri ni wazungu au weusi kama wewe? Embu tupe jibu moja tu
 
Huwezi kuelewa mtoto mdogo ila israel kapata somo ndio maana kakaa na wanaume mezani baada ya miezi miwili bila ya mafanikio yoyote huku na yeye akificha aibu ya makamanda wake aliyotumia gharama kubwa kuwatrain kushindwa kuwaokoa mateka mbele ya mgambo

Wanaume gani! Hao wavaa misuli? Wewe kweli hazimo, watu wamepukutishwa zaidi ya 15,000 badala ya kuumia na kusikitika unawaita wanaume? Kama wanaume kwa nini wamefyata mbupu kwenye mashimo! Si wangejitokeza kupambana na IDF ili tuuone huo uanaume wao? Wenzao IDF wamewafuata huko huko Gaza, badala ya kupigania watu wao wameamua kujificha kwenye mashimo huku wakiacha kipondo kikiendelea hadi huko mashimoni! Au kama wana nguvu na wao wangeingia kule Israel hapo tungesema wavaa kobazi na musuli ni wanaume! Na wasipotubu Israel safari hii inawamaliza wote, hakuna cha mtoto, mwanamke wala mwanaume, watasafishwa wote! Wewe unatumia marungu kupigana na Israel kweli?
 
Wanaume gani! Hao wavaa misuli? Wewe kweli hazimo, watu wamepukutishwa zaidi ya 15,000 badala ya kuumia na kusikitika unawaita wanaume? Kama wanaume kwa nini wamefyata mbupu kwenye mashimo! Si wangejitokeza kupambana na IDF ili tuuone huo uanaume wao? Wenzao IDF wamewafuata huko huko Gaza, badala ya kupigania watu wao wameamua kujificha kwenye mashimo huku wakiacha kipondo kikiendelea hadi huko mashimoni! Au kama wana nguvu na wao wangeingia kule Israel hapo tungesema wavaa kobazi na musuli ni wanaume! Na wasipotubu Israel safari hii inawamaliza wote, hakuna cha mtoto, mwanamke wala mwanaume, watasafishwa wote! Wewe unatumia marungu kupigana na Israel kweli?
Kwani october 7 waliingia wapi? Halafu vita ni timing kila mtu ana njia zake za kupigana kwani hujui kwamba kila siku makamanda wa idf wanazikwa pia unadhani nani anawaua? Acha pumba hadi israel kukubali kubadilishana mateka hakuna aliyetegemea hata wewe, huo ndio unaume tunaozungumzia hapa
 
Tatizo kubwa unaandika bila kujua sababu. Sababu ya Israel kukubali ni hizi
1. Miongoni mwa wanaoshikiliwa mateka na Hamas ni wamarekani, wajerumani, France uingereza na baadhi ya nchi za asia.
Hao wa magharibi ni waungaji mkono wa Israel, hivyo wamemuomba Israel afanye mkataba ili raia wao wasiuwawe kwenye mashimo wanakishikiliwa. Israel alikuwa hana chaguo ilikuwa kukubali ombi la washirika wake.
Hata hivyo katika idadi ya wanaoachia.na Hamas wa Marekani hawamo mpaka muda huu, na hiyo siyo kwa bahati mbaya , ni mkakati wa Hamas ili waje na madai ya mkataba mwingine kwa kuongeza madai.
Ila baada ya siku ya kesho utasikia.ninachokuambia
Sasa mossad idf cia nawengine wameshindwa kuwaokoa mateka wao
Haya tuseme upo sawa ila nakukumbusha tu kwenye hao mateka kuna wanajeshi zaidi ya 300 wa israhell wanashikiliwa
Tuone wakishaachiwa hao raia kama israhell atathubutu ama ataweza kuokoa hao magaidi wake waliotekwa
Israhell alikua anapambwa sana ila hakuamini alichokutana nacho
 
Ukitaka juwa balaa la mossad waulize Manazi wa Ugerman kiasi serikali ya Genrma ilifika mahali na kusema poo kwa Israel maana hakuna alie Baki hai hata leo..
Mossad ipi hii iloshindwa kugundua kama kuna kipigo kinatokea au hii iloshindwa kuokoa mateka wao zaidi ya 1200
 
Back
Top Bottom