Usiwe na wasi wasi. Kule Yanga wanaongozwa na Injinia! Ufumbuzi uko kwenye hatua za mwisho mwisho kwenye drawing boardKwa jirani nyumba imeanza kuungua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mie namshukuru na kumtakua kila la kheriTaarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine.
Yanga inatarajiwa kutangaza muda wowote juu ya kuachana na kocha hiyo ambaye ameipa mafanikio makubwa.
View attachment 2657812
UPDATES...
View attachment 2657948
Nabi alipaswa kuondoka, hawezi kuipa Yanga mafanikio makubwa zaidi ya haya ya mwaka huu. Yanga ina kikosi kizuri, kikubwa watafute kocha mwingine mzuri tena anacheza soka la kasi haswa. Nabi ni mzuri kiasi chake ila uzuri wa kikosi ndio uliombeba zaidi.Dalili za kurudi kwa kina Minziro na Mkwasa hizi. Halafu taarifa waliyotoa kama siyo sahihi, Nabi alikuwa na kandarasi hadi 2024 ila kavunja mkataba. Nadhani wamejifunza kwa Feisal, mtu akitaka kuondoka mwache aende.
Kurukaruka kwa maharage ndo kuiva kwake, ngoja tuone..!Anguko la uto laja. Na anaweza sepa na Mayele, Dickson Job na hata Diarra.
Kajitahidi kulingana na kiwango chake cha elimu.Aliishia darasa la kwanza mkondo F s/m wajingajinga.Soma ulivyoandika bro!
Naomba jina la kituo chako cha kazi madam nilete mtoto hapo.Analiaga huyu Yanga ikifungwa.....same tu me wanafunzi wangu wakishindwa kuperform vyema hesabu za Kwa paper naanza kulia darasani.
Wanafunzi wakiona nimelia wanajua hapa tumepona fimbo...paper linalokuja wananipigia hiyo math balaa.
Nami siachi kuwaambia tuimbe wimbo wetu wa MUNGU ASANTE! Wanaimbajeeee[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Anaenda Namungo.Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine.
Yanga inatarajiwa kutangaza muda wowote juu ya kuachana na kocha hiyo ambaye ameipa mafanikio makubwa.
View attachment 2657812
UPDATES...
View attachment 2657948
Nami siachi kuwaambia tuimbe wimbo wetu wa MUNGU ASANTE! Wanaimbajeeee[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787]Analiaga huyu Yanga ikifungwa.....same tu me wanafunzi wangu wakishindwa kuperform vyema hesabu za Kwa paper naanza kulia darasani.
Wanafunzi wakiona nimelia wanajua hapa tumepona fimbo...paper linalokuja wananipigia hiyo math balaa.
Nami siachi kuwaambia tuimbe wimbo wetu wa MUNGU ASANTE! Wanaimbajeeee[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Nabi hajawahi kuchukua hilo kombe akiwa kocha, nenda kaangalie kumbukumbu zako vizuriSio bahati
Uwezo wake
Mtu aliechukua caf cc 2012 unasema bahati
Wakati wewe makocha wako wote waliokupitia hamna hata mmoja aliewahi kuchukua Hilo kombe??
Issue sio idadi ya makocha,issue ni ndoo ngapi zimekuwa,acquiredNdani ya hiyo misimu minne wamepita makocha wangapi wakati inabeba hizo back back ?
🤣🤣🤣😍Nami siachi kuwaambia tuimbe wimbo wetu wa MUNGU ASANTE! Wanaimbajeeee[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya shule inboxNaomba jina la kituo chako cha kazi madam nilete mtoto hapo.
Mwalimu unalia!!! mbele ya wanafunzi Mpwayungu Village anasemajeAnaliaga huyu Yanga ikifungwa.....same tu me wanafunzi wangu wakishindwa kuperform vyema hesabu za Kwa paper naanza kulia darasani.
Wanafunzi wakiona nimelia wanajua hapa tumepona fimbo...paper linalokuja wananipigia hiyo math balaa.
Nami siachi kuwaambia tuimbe wimbo wetu wa MUNGU ASANTE! Wanaimbajeeee🤸🤸🤸🤸
Acha tu,yanatiririka yenyewe Yaan.....at least napumuaMwalimu unalia!!! mbele ya wanafunzi Mpwayungu Village anasemaje
Bado mayele yanga IFE kabisaTaarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine...