Kawapiku kwa lipi babu mbona unapiga kelele tu na mahaba niue yako. Cr mfalme hajabakiza kitu chini ya jua sio EPL LA liga uefa uero na uchafu wote ambao mess itabaki simulizi kwake na kwenuKuna watu wabishi duniani acha tu. Messi anachukiwa kwa sababu kawapiku wakina maradona, pele, zidane, de stefano, requelme, puskas, cr7, di lima, gaucho n.k
Mtaongea sana tu lakini habari ndio hiyo, mtake msitake. hapo Messi ndiye anawaongozea hao niliowataja hapo juu. King of the kings
ilifikiri umeleta EPL aliyobeba mess kumbe unazungumzia chanceNafikiri hata El classico ya juzi, 23/12/2017 hawakuangalia hawa. Messi10 aliwekewa watu wawili wa kum-mark (Casemiro na Kovacic) lakini bado alitengeneza chance nyingi tu kuliko mchezaji yoyote siku ile.
Kama hiyo haitoshi bado aliweza kutoa Assist ya goli LA 3. Alafu mtu bado anadai eti barca ina mbeba, bora wangesema Messi10 ndiyo barca anaibeba.
Hizi ni chance alizotengeneza peke yake kwenye el classico ya tarehe 23/12/2017.
Uwezo binafsi bila mafanikio ni maneno tupu apoTofautisha kuchukuwa vikombe kwenye klabu na uwezo binafisi. Ndiyo maana mwenye thread hii hajaorodhesha makombe/vikombe na vilabu ambavyo messi10 kacheza. Kakuwekea highlights kuonyesha uwezo wake binafisi.
Kama kipimo cha ubora ni kucheza timu tofaut tofaut....hata mrisho ngasa ni zaid ya king messiUtajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
Ukiambiwa kuwa hukupata malezi ya pande 2 utajibu nini?messi hamfikii di maria
Arsenal kapigwa mtalimbo na MessiAngalia mechi anazokutana nao EPL
So far ligi bora ni ipi?
Hii ndio sababu washabiki wa Madrid hawatak kukubaliana na ukweli[emoji116] [emoji116]
Ka EPL keno hakana kitu hako Pep anakakimbiza balaa
Ndo tatizo lenu mashabiki wa Messi..Muulize ndugu yako Marcelo atakuhadithia vizuri tu habari zafalme wa soka wa mda wote, King Messi10.
Of course, kuadapt na kucope mifumo tofauti ya timu na ligi kunafanya uprove una uwezo.Kwani kucheza team nyingi ndio kipimo?
CR7 ana Olympic??Kawao
Kawapiku kwa lipi babu mbona unapiga kelele tu na mahaba niue yako. Cr mfalme hajabakiza kitu chini ya jua sio EPL LA liga uefa uero na uchafu wote ambao mess itabaki simulizi kwake na kwenu
Cheki Copa derey huko king Messi10 anavowafanya Celta Vigo Muda huu, dk ya 15 tu kashapiga bao 2...Ndo tatizo lenu mashabiki wa Messi..
Tushawabutua sana Camp Nou
vikombe ndo usiseme.... lakini badoo
Makelele!!!!!Waje tu kama wanahoja za msingi na si makelele.