GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Huu ni uchawi sasa, umejuaje wakati hata haja hama?!
!
Messi ni mchezaji bora katika timu ya Barcelona kwenye league ya Spain tu. Nje na hapo hata Chirwa ni bora kuliko Messi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uchawi sasa, umejuaje wakati hata haja hama?!
!
Messi ni mchezaji bora katika timu ya Barcelona kwenye league ya Spain tu. Nje na hapo hata Chirwa ni bora kuliko Messi.
Arsenal kapigwa mtalimbo na Messi
Man Utd kapigwa mitalimbo
Man city kapigwa mitalimbo
Labda Chelsea kidogoo
sasa mkuu nani bingwa? Champions League 2016Itakuwa unaota uku uko uchi brother barca huwa inaitandika Madrid kama vile inaitandika levante
Cr7 ana laliga ngapi?sasa mkuu nani bingwa? Champions League 2016
[emoji471] UEFA Super Cup 2016
[emoji471] FIFA Club World Cup 2016
[emoji471] LaLiga 2017
[emoji471] Champions League 2017
[emoji471] UEFA Super Cup 2017
[emoji471] Spanish Super Cup 2017
[emoji471] FIFA Club World Cup 2017
[emoji41] [emoji41]
Team ya taifa mbona mara nyingi kaboronga tu?Kwani kucheza team nyingi ndio kipimo?
Cr7[emoji123][emoji471] [emoji471] [emoji471][emoji471] [emoji471] [emoji471]Cheki Copa derey huko king Messi10 anavowafanya Celta Vigo Muda huu, dk ya 15 tu kashapiga bao 2...
Naomba round ijayo tuwe nanyie Madridiots, mmeendelee kuona uwezo wa Messi10. Mtamchukia sana siku Zote...
Nimekwambia hayo ni mabinanza christian mbona mabonanza anayo kibao tuCR7 ana Olympic??
Nimekwambia hayo ni mabinanza christian mbona mabonanza anayo kibao tuCR7 ana Olympic??
YatajeNimekwambia hayo ni mabinanza christian mbona mabonanza anayo kibao tu
Alete copa america APA kama cr7 alivyotuonyesha kutwaa euroKumbe unamapenzi na CR, na unataka messi ashinde euro wakati yeye muamerica?
Kudhibitisha ubora lazma uangalie changamoto tofauti na upate mafanikio kila ulipokanyaga. Kuonyesha mesi hamna kitu kashindwa pata mafanikio hata na agentinaNa washangaa sana mashabiki wa EPL, na niwaulize maswali yafuatayo:
1. Kwani ili mchezaji awe bora lazima acheze EPL?
2. Mara ya mwisho hiyo ligi yenu pendwa kutoa mchezaji bora mwaka gani? Na kwanini?
Mchezaji mzuri hawezi hama kutoka La liga kwenda EPL, kwahiyo messi akihama Barca na kwenda team yeyote ya EPL mujue amechuja mno. Kwa miaka zaidi ya 10 sasa laliga ndio ligi bora
Itakuwa unaota uku uko uchi brother barca huwa inaitandika Madrid kama vile inaitandika levante
Kweli cr7 wa ajabu kila anapitapo ni kubeba ndoo tu. Mess wa ajabu kweli anaingangania baca kama wamemwambia ukihama utakufaMusiwe mnapenda kumfananisha King Leo Messi na vitu vya ajabu ajabu...
Kwani hizo timu si huwa anakutana nazo champions league?Utajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
Cr 7 ni shida saaaana huyu jamaa sifa zimemzidisasa mkuu nani bingwa? Champions League 2016
[emoji471] UEFA Super Cup 2016
[emoji471] FIFA Club World Cup 2016
[emoji471] LaLiga 2017
[emoji471] Champions League 2017
[emoji471] UEFA Super Cup 2017
[emoji471] Spanish Super Cup 2017
[emoji471] FIFA Club World Cup 2017
[emoji41] [emoji41]
Hela anayolipwa Messi, Cr7 hamfikii hata! Uhame unatafuta nn tena?Kweli cr7 wa ajabu kila anapitapo ni kubeba ndoo tu. Mess wa ajabu kweli anaingangania baca kama wamemwambia ukihama utakufa