Kitu pekee ambacho jamaa hakujua ni kina nani wanaendesha nchi hasa! Ile juzi hotuba yake yakupokea ndege iliwavuruga sana watu... ukichanganya na kuwagusa akina Salaaah ndo kabisaaa!Yale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi.
Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa nafasi level ya mkoa akapambane na mama ntilie,kupokea mwenge na kupambana na waendesha bodaboda.
Ngongo safarini Ngorongoro
Mbona majuzi alimsifia kuhusu ziara zake? Hata uko kapelekwa kimkakati kabisa…..Yale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi.
Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa nafasi level ya mkoa akapambane na mama ntilie,kupokea mwenge na kupambana na waendesha bodaboda.
Ngongo safarini Ngorongoro
Nilimwona Makonda kwenye msiba wa Zeloth Steven nikajua aliyemteua kaingia mkenge.Kitu pekee ambacho jamaa hakujua ni kina nani wanaendesha nchi hasa! Ile juzi hotuba yake yakupokea ndege iliwavuruga sana watu... ukichanganya na kuwagusa akina Salaaah ndo kabisaaa!
HahahYale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi.
Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa nafasi level ya mkoa akapambane na mama ntilie,kupokea mwenge na kupambana na waendesha bodaboda.
Ngongo safarini Ngorongoro
Huko AR kaandaliwa uchochoro tu wakuondokea... Samia alishajuta big time kurudisha hili garasa!! Angemuondoa tu hovi bila kitu ingeleta kelele na maswali mengi juu ya uwezo wa Samia kwenye teuzi!Nilimwona Makonda kwenye msiba wa Zeloth Steven nikajua aliyemteua kaingia mkenge.
Fikiria Makamu Mwenyekiti Taifa ameshafika katika eneo la msiba halafu Bashite anaingia mwishoni.Hii ni nje ya utaratibu wa protocal kwamba yeye ni boss wa Makamu Mwenyekiti?.
Matamko kwamba watu wasiende kutafuta haki Mahakamani!.
Kifupi hata hii nafasi ya Mkuu wa Mkoa aliyopewa ni kwasababu ya ubovu wa katiba yetu.
Bashite hakutakiwa kupewa nafasi yoyote ya uongozi wa umma.
Nategemea drama nyingi sana R Chuga.
Mjema alikua hana uwezo kabisa aliowaya kupitiliza!! Polepole aliondolewa kwa hangover ya Samia!!Kwanini yeye na si Polepole au Mjema?.
Huwajui watu wa Pwani na visiwani wewe.Mbona majuzi alimsifia kuhusu ziara zake? Hata uko kapelekwa kimkakati kabisa…..
Nafikiri tukiacha kumchukia ndio atakosa chakula lakini tukiendelea kumchukia ndio basi tena……
Moja ya drama msafara wake utakuwa hadi na escort.Nilimwona Makonda kwenye msiba wa Zeloth Steven nikajua aliyemteua kaingia mkenge.
Fikiria Makamu Mwenyekiti Taifa ameshafika katika eneo la msiba halafu Bashite anaingia mwishoni.Hii ni nje ya utaratibu wa protocal kwamba yeye ni boss wa Makamu Mwenyekiti?.
Matamko kwamba watu wasiende kutafuta haki Mahakamani!.
Kifupi hata hii nafasi ya Mkuu wa Mkoa aliyopewa ni kwasababu ya ubovu wa katiba yetu.
Bashite hakutakiwa kupewa nafasi yoyote ya uongozi wa umma.
Nategemea drama nyingi sana R Chuga.
Huko hana mamlaka nayo....na atakuwa na heshima sasaWafanyabiashara & Wakuu wa mashirika ya umma ambayo makao makuu ya Arusha wajiandae.Mashirika kama Ngorongoro & Tanapa wakae mkao wa kula.
Unajua haya mavyeo usijifanye mfia nchi au chama kuwa neutrol inatosha, sikuona sababu ya kumsemea mama kuhusu kulinganishwa kwa jpm na mama, kama mhe Rais linamkera yeye atalisemea.Kitu pekee ambacho jamaa hakujua ni kina nani wanaendesha nchi hasa! Ile juzi hotuba yake yakupokea ndege iliwavuruga sana watu... ukichanganya na kuwagusa akina Salaaah ndo kabisaaa!
We kuna kitu unacho; hotuba ya kupokea ndege lilikuwa ndo boko la mwisho la Bashite; pale Mama lazima aliambiwa unataka huyu fala akutoboe jicho ndo uchukue hatua?Kitu pekee ambacho jamaa hakujua ni kina nani wanaendesha nchi hasa! Ile juzi hotuba yake yakupokea ndege iliwavuruga sana watu... ukichanganya na kuwagusa akina Salaaah ndo kabisaaa!