Hatimaye maigizo ya Makonda yamchosha Rais Samia

Hatimaye maigizo ya Makonda yamchosha Rais Samia

Hakika lakuvinda halina ubani,unaweza kusema hivyo kwa huyu dogo.

Baada ya kukabidhiwa usemaji wa chama akawa sasa ni mtu wa kutanua kifua na kuwashurutisha mawaziri.

Juzi tu akamtisha mdogo wake mfanyabiashara na kumwambia sasa utanijua,unajua mimi ni nani ndani ya chama?

Juzi juzi pale Kipawa anamfananisha Rais Samia na marehemu kuwa kila anachofanya Rais wa sasa ni kumuiga marehemu Magufuli.

Kitendo cha kumsema Rais wa nchi kuwa kila anachokifanya ni Sawa na alichofanya marehemu ni kumvunjia heshima kiongozi aliyepo madarakani.

Hili litakuwa ni fundisho kubwa Sana Kwa huyu kijana maana sasa anenda kuwa uraiani na kuhangaishana na kina Lema mitaani na jila lake la Bashite linaweza kutumika sasa.View attachment 2949650
Tulimalaani asingefika mbali
 
Tatizo watu wanacheza na siasa za ccm. Wapinzani ndo kabisa, badala ya kuiwajibisha serikali, utaona wanabeba mabango ya kumzomea makonda kuondolewa uenezi. Badala ya kupiga kelele kuh kikokotoo, tozo, bei ya mafuta, bima ya afya iliyovurugwa, bandari, hatua kuh ripoti ya CAG, na sheria mbaya ya mishahara kwa wenza wa viongozi wakati hali za wananchi ni ngumu, sana sana utawasikia viongozi wa upinzani wanadai stahiki zao za ubunge baada ya kufukuzwa bungeni pa.oja na matibabu ya lissu!!
Inamaana wewe huoni wapinzani wanapokuwa wakikosoa au bas tu unajitoa akili?

Maandamano yaliyofanyika kupinga ugumu wa maisha. Kupanda kwa sukari na mafuta nk walifanya Ccm?

Wakati mwingine tusilete siasa lwenye maisha

Wapinzani kila siku wanapiga kelele leo hii we unaandika wapinzani wana base kwenye posho zao za ubunge , upo serious kwel?

Uwe mwepes wa kutafuta taarifa ndio utajua kama wapinzani wanafanyakazi au vipi
 
Kama hulioni hili basi una matatizo makubwa ya kutojamiiana vizuri.
 
Wadau hatimae Mweneze wa ccm Bw.Paul Makonda licha ya Baadhi ya Watu kumsifia kuwa kakiimarisha Chama kwa kuzunguka Nchi zima na kutumia Mikokoteni Matreka na Malori ya mchanga ameondolewa kwenye UENEZI na kupewa UKUU wa MKOA wa ARUSHA.
Naamini kwenye Nafasi ya UENEZI Bw.MAKONDA hakufanikiwa kukiimarisha CHAMA zaidi ya kuwadhalilisha VIONGOZI wenzake wa CHAMA na SERIKALI kwa kauli zake chafu na ndio sababu ya kumtoa UENEZI wa CHAMA.
Vile vile naamini Bw.MAKONDA ataendeleza FALSAFA yake ya KUPANDA MIKOKOTENI MATREKTA na MALORI ya Mchanga ktk ZIARA zake za kikazi kama MKUU wa MKOA
Poleni watu wa ARUSHA
 
Unamaanisha DAB?
Hakika lakuvinda halina ubani,unaweza kusema hivyo kwa huyu dogo.

Baada ya kukabidhiwa usemaji wa chama akawa sasa ni mtu wa kutanua kifua na kuwashurutisha mawaziri.

Juzi tu akamtisha mdogo wake mfanyabiashara na kumwambia sasa utanijua,unajua mimi ni nani ndani ya chama?

Juzi juzi pale Kipawa anamfananisha Rais Samia na marehemu kuwa kila anachofanya Rais wa sasa ni kumuiga marehemu Magufuli.

Kitendo cha kumsema Rais wa nchi kuwa kila anachokifanya ni Sawa na alichofanya marehemu ni kumvunjia heshima kiongozi aliyepo madarakani.

Hili litakuwa ni fundisho kubwa Sana Kwa huyu kijana maana sasa anenda kuwa uraiani na kuhangaishana na kina Lema mitaani na jila lake la Bashite linaweza kutumika sasa.View attachment 2949650
 
Hili nimelielewa.....kwamba reference na jpm
Screenshot_20240331-062436.png
 
Juzi juzi pale Kipawa anamfananisha Rais Samia na marehemu kuwa kila anachofanya Rais wa sasa ni kumuiga marehemu Magufuli.
Itakuwa marehemu amechukia, atafananishwaje wakati tukishakubaliana hafananishwi na yeyote! Si aliyepita aliyepo au ajae anaweza kufanana na marehemu kiutendaji! Hili hata mbingu na ardhi vinafahamu.
 
Hakika lakuvinda halina ubani,unaweza kusema hivyo kwa huyu dogo.

Baada ya kukabidhiwa usemaji wa chama akawa sasa ni mtu wa kutanua kifua na kuwashurutisha mawaziri.

Juzi tu akamtisha mdogo wake mfanyabiashara na kumwambia sasa utanijua,unajua mimi ni nani ndani ya chama?

Juzi juzi pale Kipawa anamfananisha Rais Samia na marehemu kuwa kila anachofanya Rais wa sasa ni kumuiga marehemu Magufuli.

Kitendo cha kumsema Rais wa nchi kuwa kila anachokifanya ni Sawa na alichofanya marehemu ni kumvunjia heshima kiongozi aliyepo madarakani.

Hili litakuwa ni fundisho kubwa Sana Kwa huyu kijana maana sasa anenda kuwa uraiani na kuhangaishana na kina Lema mitaani na jila lake la Bashite linaweza kutumika sasa.View attachment 2949650
yaani ulivyovitaja vimemponza nini sasa kwa mifano 🐒

mtu alikua mtumishi wa chama na hivi sasa ni mtumishi katika serikali 🐒
 
Madon wa Ara Chuga wajiandae kumneemesha, huyu jamaa kwenye kujineemesha ndio eneo lake la kujidai
Hapo ni mwendo kupiga tik-tak za hatari na kuanza kujimilikisha billions. Sema atulie sasa maana ndio last kick yake. Akipigwa nje sahizi ndio bas tena
 
Itakuwa marehemu amechukia, atafananishwaje wakati tukishakubaliana hafananishwi na yeyote! Si aliyepita aliyepo au ajae anaweza kufanana na marehemu kiutendaji! Hili hata mbingu na ardhi vinafahamu.
Inategemea na aliyepo madarakani atalipokea vipi mzee
 
Back
Top Bottom