KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Kuisafisha CCM haiwezekani...1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km nani mtajekaongea ukweli sana ila kuna watu hawampendi makufuli
sifahamu hebu elezea kicheleHujui nafasi ya kuwa mwenezi wa chama tawala
Nae hapendi kufanasishwa!Inategemea na aliyepo madarakani atalipokea vipi mzee
Binafsi sikufuatilia mapokezi ya ndege ila niliona analiongea hilo wakati naangalia taarifa ya habari. Nilitafakari sana kwani nilishangaa pia. Hata wakati alipoteuliwa na kwenda Chato, sijajua lengo la kusema "bora nife ila sitaweza msaliti JPM" lilikuwa ni nini?Hili nimelielewa.....kwamba reference na jpm
Uchaguzi wa wapi na kwa ajili ya nini? Yaani Makonda ndio wa kufanya uchaguzi uwe mgumu Arusha? Alishindwa Mzee Lowasa 2012 akiwa anampambania mkwewe SIOI SUMARI dhidi ya Nassari, Makonda atafanya nini? Hivi sijui mnajielewa kweli nyie vijana? Makonda si takataka kabisa ile.2025 itakuwa ngumu sana kwa wapinzani kwenye uchaguzi mkuu.
Eeh usalama ni mkubwa, atachukua notes kwa mkuu wa mkoa aliyeishi jela😂Yale maduka yake ya kubadilisha fedha za kigeni atayasimamia vizuri na kwa ukaribu zaidi.
Ile alijichanganya. Msimpambe, mwambieni ukweli anatakiwa ajue anaongea nini na hadhara gani. Sasa ile mikwara aliyokuwa anampiga PM pamoja na Mawaziri sijui atafanyaje kazi nao.Kitu pekee ambacho jamaa hakujua ni kina nani wanaendesha nchi hasa! Ile juzi hotuba yake yakupokea ndege iliwavuruga sana watu... ukichanganya na kuwagusa akina Salaaah ndo kabisaaa!
Anataka kubebwa na Nyota ya Marehemu?Binafsi sikufuatilia mapokezi ya ndege ila niliona analiongea hilo wakati naangalia taarifa ya habari. Nilitafakari sana kwani nilishangaa pia. Hata wakati alipoteuliwa na kwenda Chato, sijajua lengo la kusema "bora nife ila sitaweza msaliti JPM" lilikuwa ni nini?
Kimsingi, anajua bado mzee anakumbukwa na kupendwa na watu, ye aliona karata pekee ya yeye kuingia kwenye mioyo ya watanzania ni JPM.
Wao watatumia mbinu zile zile ila sio kwa sababu ya Makonda.Uchaguzi wa wapi na kwa ajili ya nini? Yaani Makonda ndio wa kufanya uchaguzi uwe mgumu Arusha? Alishindwa Mzee Lowasa 2012 akiwa anampambania mkwewe SIOI SUMARI dhidi ya Nassari, Makonda atafanya nini? Hivi sijui mnajielewa kweli nyie vijana? Makonda si takataka kabisa ile.
Umewahi kushuhudia yanayoendelea kwenye chumba cha kuhesabia kura?Uchaguzi wa wapi na kwa ajili ya nini? Yaani Makonda ndio wa kufanya uchaguzi uwe mgumu Arusha? Alishindwa Mzee Lowasa 2012 akiwa anampambania mkwewe SIOI SUMARI dhidi ya Nassari, Makonda atafanya nini? Hivi sijui mnajielewa kweli nyie vijana? Makonda si takataka kabisa ile.
Hata kama wamemshusha cheo ila kwenye Ile hotuba "message sent and delivered"..We kuna kitu unacho; hotuba ya kupokea ndege lilikuwa ndo boko la mwisho la Bashite; pale Mama lazima aliambiwa unataka huyu fala akutoboe jicho ndo uchukue hatua?
Utaliuzi kundi kubwa la Sukuma gang.Bashite ni picha na alama kubwa ya Mungu wa Chato hajui mungu wake ameshapitwa na zama zake zinatakiwa kusahaulika na kuzikwa.Maigizo .Kama kweli amemchoka angemuweka benchi tu.
Ukidai wewe inatosha, acha kutegemea mwanaume mwingine akusaidie kudai haki zakoTatizo watu wanacheza na siasa za ccm. Wapinzani ndo kabisa, badala ya kuiwajibisha serikali, utaona wanabeba mabango ya kumzomea makonda kuondolewa uenezi. Badala ya kupiga kelele kuh kikokotoo, tozo, bei ya mafuta, bima ya afya iliyovurugwa, bandari, hatua kuh ripoti ya CAG, na sheria mbaya ya mishahara kwa wenza wa viongozi wakati hali za wananchi ni ngumu, sana sana utawasikia viongozi wa upinzani wanadai stahiki zao za ubunge baada ya kufukuzwa bungeni pa.oja na matibabu ya lissu!!