Mna shida kweli. Mnacheza ngoma msiyoijua. Badala ya kuibana serikali na mambo muhimu ya kikokotoo, bìma ya afya, bandari, umeme, mfumuko wa beiHuko AR kaandaliwa uchochoro tu wakuondokea... Samia alishajuta big time kurudisha hili garasa!! Angemuondoa tu hovi bila kitu ingeleta kelele na maswali mengi juu ya uwezo wa Samia kwenye teuzi!