Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tunajua mna chuki roho mbaya mmejaa rushwa na roho kwantu mbwa nyieHuko AR kaandaliwa uchochoro tu wakuondokea... Samia alishajuta big time kurudisha hili garasa!! Angemuondoa tu hovi bila kitu ingeleta kelele na maswali mengi juu ya uwezo wa Samia kwenye teuzi!
Nilijua ile nafasi haimtoshi.Yale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi.
Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa nafasi level ya mkoa akapambane na mama ntilie,kupokea mwenge na kupambana na waendesha bodaboda.
Ngongo safarini Ngorongoro
Ausha ukipelekwa ndo mwisho wako.Mbona majuzi alimsifia kuhusu ziara zake? Hata uko kapelekwa kimkakati kabisa…..
Nafikiri tukiacha kumchukia ndio atakosa chakula lakini tukiendelea kumchukia ndio basi tena……
Haha Arusha tumeletewa kirobo kilichopo ndani tutajua mbeleniYale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi.
Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa nafasi level ya mkoa akapambane na mama ntilie,kupokea mwenge na kupambana na waendesha bodaboda.
Ngongo safarini Ngorongoro
Bashite domo lopolopo,machalii wa ar wanamsubirHaha Arusha tumeletewa kirobo kilichopo ndani tutajua mbeleni
Madon wa Ara Chuga wajiandae kumneemesha, huyu jamaa kwenye kujineemesha ndio eneo lake la kujidaiYale maigizo ya Bashite ya kupanda mikokoteni,matrecta...... yamemchosha Mama wa Kizimkazi.
Ni wazi kupitia mikutano yake iliyojaa maigizo na ulaghai uliopitiliza ameonekana ni vyema akapewa nafasi level ya mkoa akapambane na mama ntilie,kupokea mwenge na kupambana na waendesha bodaboda.
Ngongo safarini Ngorongoro
Ni sahihi, akiwa RC ni rahisi kubwagwa chini.Huko AR kaandaliwa uchochoro tu wakuondokea... Samia alishajuta big time kurudisha hili garasa!! Angemuondoa tu hovi bila kitu ingeleta kelele na maswali mengi juu ya uwezo wa Samia kwenye teuzi!
Huko AR kaandaliwa uchochoro tu wakuondokea... Samia alishajuta big time kurudisha hili garasa!! Angemuondoa tu hovi bila kitu ingeleta kelele na maswali mengi juu ya uwezo wa Samia kwenye teuzi!
Lilikuwa ni suala la muda tu, SSH anafeli kuwaamini watu kama hawa ambao walishaonyesha kufeli hapo kabla.Tatizo lake hachagui maneno yake ...amuombe Mungu aweke "filter " mdomoni mwake
Huyu hawezi kuwa na heshima kamwe kwani hajawahi kuwa na heshima wala hekima hapo kabla. Baada ya uteuzi wa kuwa mwenezi, angekuwa na hekima angebadilika na kutenda kulingana na ukubwa na umuhimu wa hiyo nafasi.Huko hana mamlaka nayo....na atakuwa na heshima sasa
Tatizo watu wanacheza na siasa za ccm. Wapinzani ndo kabisa, badala ya kuiwajibisha serikali, utaona wanabeba mabango ya kumzomea makonda kuondolewa uenezi. Badala ya kupiga kelele kuh kikokotoo, tozo, bei ya mafuta, bima ya afya iliyovurugwa, bandari, hatua kuh ripoti ya CAG, na sheria mbaya ya mishahara kwa wenza wa viongozi wakati hali za wananchi ni ngumu, sana sana utawasikia viongozi wa upinzani wanadai stahiki zao za ubunge baada ya kufukuzwa bungeni pa.oja na matibabu ya lissu!!Mbona majuzi alimsifia kuhusu ziara zake? Hata uko kapelekwa kimkakati kabisa…..
Nafikiri tukiacha kumchukia ndio atakosa chakula lakini tukiendelea kumchukia ndio basi tena……
Anayo sasa hiyo akili ya kuona hana mamlaka?Huko hana mamlaka nayo....na atakuwa na heshima sasa
Hakuna point hapo..... Bunge lake ccm limeshindwa kuwajibisha unataka nani aiwajibishe?Tatizo watu wanacheza na siasa za ccm. Wapinzani ndo kabisa, badala ya kuiwajibisha serikali, utaona wanabeba mabango ya kumzomea makonda kuondolewa uenezi. Badala ya kupiga kelele kuh kikokotoo, tozo, bei ya mafuta, bima ya afya iliyovurugwa, bandari, hatua kuh ripoti ya CAG, na sheria mbaya ya mishahara kwa wenza wa viongozi wakati hali za wananchi ni ngumu, sana sana utawasikia viongozi wa upinzani wanadai stahiki zao za ubunge baada ya kufukuzwa bungeni pa.oja na matibabu ya lissu!!
Unajua haya mavyeo usijifanye mfia nchi au chama kuwa neutrol inatosha, sikuona sababu ya kumsemea mama kuhusu kulinganishwa kwa jpm na mama, kama mhe Rais linamkera yeye atalisemea.
Anayo sasa hiyo akili ya kuona hana mamlaka?
Hakuna cha Mkakati wowote kachoshwa na MAIGIZO YAKEMbona majuzi alimsifia kuhusu ziara zake? Hata uko kapelekwa kimkakati kabisa…..
Nafikiri tukiacha kumchukia ndio atakosa chakula lakini tukiendelea kumchukia ndio basi tena……
Now you talkUnajua haya mavyeo usijifanye mfia nchi au chama kuwa neutrol inatosha, sikuona sababu ya kumsemea mama kuhusu kulinganishwa kwa jpm na mama, kama mhe Rais linamkera yeye atalisemea.