Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Putin yafaa apewe tuzo ya Nobel,

Ni ubindamu wa hali ya juu Sana anawafanyia askali wa Ukraine

Maana ake Apo watajiua wenywe kwa kiburi Chao, yeye hatahusika[emoji4]
 
Sababu ya urusi kuingia Ukraine ni Nini?
Ashukuru Mungu wale raia 1000, ndio maana Urusi kashindwa kupiga Bust bomber maana dunia ingemuona katili mbwa, ila kuna alternative ngoja tuwaue kwa njaa
 
Aisee Zelensky ni mbishi Sana ,
Bado anasema "partly occupied mariupol"[emoji16]View attachment 2195297
Ndomana tunasema hii vita Waukraine wamechapika sana, wao walichoweza kukifanya kikubwa na vyombo vya West ni kupika habari tu..

Sasa mpaka wanajeshi wengine wamesurrender lna wengine chini ya handaki wamesema wana hali mbaya na wana masaa tu ila Rais wao anasema hakuna chochote..
 
Kuna Hali ya kuchanganyikiwa,
Huenda Raisi anapotoshwa na Hali halisi ya uwanja wa kivita, au kaamua TU kukaza fuvu asionekane ameshindwa Vita
 
Kuna watu wanapita kimnya kimnya kama msiba wa sh*ga hapa πŸ˜‚πŸ˜‚ sema yule general wa chechen kadyrov ni balaa yule mwamba aliomba kibali afungue kigenge cha mishkaki hapo kiwandani putin ndio akakataa bila hivyo ingekua tunahadithia mengine hapa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe putin anamahesabu makali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…