Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Ndivyo walimvyomuhadaa kwenye mazungumzo yao ya awali wakiwa Turkey, Putin kustukia ghafla wakamsaliti kwa kuizamisha meli ya RUSSIA na ndipo sasa Putin kaamua kuonesha rangi yake halisi kitabia ikoje akikasirishwa na unafki wa Zelensiky [emoji6]
 
Afu kuna kenge waliopandikizwa propaganda za chuki za media za USA na EU dhidi ya Putin kuwa ni katili sana na bado wanaamini tu huo upumbavu [emoji23]
 
Huo mji inamaana wanauteka kila siku kwa sababu toka vita imeanza kila siku wanasema umeuteka huo mji. Na ukijaribu kulifuatilia hili swala rais wa Ukraine huwa analipinga mara kwa mara.
Na ikumbukwe warusi ni waongo balaa juzi tu meli yao ililipuliwa na wanajeshi wa Ukraine lakini hilo warusi walipinga wanasema ilijilipua yenyewe.
Na unaweza usikie huo mji Leo wanasema warusi wameuteka mara kesho tunasikia umerudi tena Ukraine.
 
Yule jamaa alimsumbuaga sana Putin sijui imekuaje wakawa washkaji na akaamua kununua ugomvi. Mwamba ni mtalibani flan hivi WA kizungu ambaye kwake kufa ni sehem ya ibada, jamaa wanamisimamo haijapatwa kuonwa. Na huo utata amerithi kutoka Kwa baba yake ambaye nae alikuwa kiongozi. Kwa kifupi ni mtoto wa kishua ambaye hana njaa ya mkwanja na hanaga shobo na maisha ya dunia.. [emoji23]
 
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
mji umetekwa zaidi ya mara 15 nadhani hii ya leo ni kubwa kwi kwi kwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…