Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wasema!!!??Huo mji inamaana wanauteka kila siku kwa sababu toka vita imeanza kila siku wanasema umeuteka huo mji. Na ukijaribu kulifuatilia hili swala rais wa Ukraine huwa analipinga mara kwa mara.
Na ikumbukwe warusi ni waongo balaa juzi tu meli yao ililipuliwa na wanajeshi wa Ukraine lakini hilo warusi walipinga wanasema ilijilipua yenyewe.
Na unaweza usikie huo mji Leo wanasema warusi wameuteka mara kesho tunasikia umerudi tena Ukraine.
SawaWatz wanachekesha sana aiseee
endeleeni kushabikia upumbavu wa vita visivyowahusu
wanyonge wanachekesha sana
mkuu redio yako sauti iko juu sana punguza kidogo😄😄😄Wasema!!!??View attachment 2195871
Heheheeemkuu redio yako sauti iko juu sana punguza kidogo[emoji1][emoji1][emoji1]
Ashukuru Mungu wale raia 1000, ndio maana Urusi kashindwa kupiga Bust bomber maana dunia ingemuona katili mbwa, ila kuna alternative ngoja tuwaue kwa njaa
Kivipi amani ya dunia awenayo mrusi...???...elezea kidogoUrusi yenye Nguvu ndio Uhuru na Usalama wa Dunia
Putin Mwenye Afya ndio Usawa na Amani ya Dunia
Mungu Ibariki Urusi
Nimecheka sana navyomjua ni pro usUyo mtani wangu,
Atakuja kupost kifaru kibovu chenye herufi Z pembeni[emoji16]
Hata we mkuuu huwez kubali mashart hayoUkrainian forces holed up at the Azovstal steel plant in the Black Sea port city of Mariupol have outlined their conditions to leave the besieged location.
Late on Wednesday, Svyatoslav Palamar, the deputy commander of the neo-Nazi Azov regiment, released a new video address, stating that the troops were ready to leave the plant with the support of an unspecified “third party.” The fighters want to keep their personal weapons, as well as to evacuate their wounded.
Hawa wanaleta madai yasiyokubalika kwenye muktadha wa vita. Unayepigana naye akikuzidi nguvu ni kusal;imu amri tu na siyo kuleta masharti. Haiwezekani akuachie utoke na silaha zako uende unakotaka halafu ukajipange upya kisha urudi tena kwenye mapambano! Urusi imesema HAPANA!!
We jmaaa unahatri sana hata kama mzee ssa nitakula wapUcmwamini mwanasiasa hata kama ni baba yako.
mji mdogo sana ni kama katavi kwa hapa bongoHatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji mhimu wa Mariupol. Umuhimu wa tukio hili ni kuwa hii inawakilisha kushindwa wa wanazi mamboleo wenye itikadi kali. Wanazi hawa waliokuwa wanaulinda mji huo ndio walikuwa lengo la Putin la "denazification".
Kwa hiyo lengo hilo linakuwa limetimia. Lakini pia kutekwa kwa mji huo utasababisha Crimea kuwa na njia ya nchi kavu kuelekea jimbo la Donbass lililojitangazia uhuru. Lakini pia inaifanya Ukraine kukosa mlango wa kuingilia baharini na kuifanya kuwa landlocked.
Wanazi hawa wamshukuru Putin aliyezuia mipango ya kamanda wa urusi aliyetaka kusawazisha majengo yote ya Kiwanda cha chuma cha pua ambako wapiganaji wa kinazi wa ukraine wamejichimbia. Putin akasema maadam mmeteka sehemu zote, wazingireni tu kwenye hayo majengo ya kiwanda watajifia wenyewe au kujisalimisha.
Bila hivyo saa hii dunia ingetaharuki. Maana wanazi hao wanawashikilia pia raia kama 1000 kama ngao yao. Ukisawazisha kiwanda hicho na raia wote hao wanakufa. Raia wataendelea kupewa nafasi ya kutoka japo wanazi wamekuwa wakiwazuia. Ona hapa:
Mariupol captured — Russia
About 2,000 encircled militants, at Azovstal steel plant, are last Ukrainian hold-outs, Putin is told
The territory of the Azovstal steel plant in Mariupol. © Sputnik / Ilya Pitalev
Russian forces have fully captured the key Donbass Black Sea port-city of Mariupol, Defense Minister Sergey Shoigu told President Vladimir Putin on Thursday.
Wapiganaji hao wa kinazi wameomba jumuia ya kimataifa isimamie utokaji wao wakiwa na silaha zao kwenye kiwanda hicho, jambo ambalo urusi imekataa.
Imesema aidha wajisalimishe au waishie humo! Inasemekana wameishiwa chakula na maji maana walizingirwa tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, sema tu walikuwa na akiba kubwa ya silaha na vyakula.
Hakuna upenyo wa kuwafikishia misaada!
kwanza mpakani wakidondosha kyv labda
Na watakufa kweli kweli.Ashukuru Mungu wale raia 1000, ndio maana Urusi kashindwa kupiga Bust bomber maana dunia ingemuona katili mbwa, ila kuna alternative ngoja tuwaue kwa njaa
HahahahaaUyo mtani wangu,
Atakuja kupost kifaru kibovu chenye herufi Z pembeni[emoji16]