Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 594
Aliolewa mwaka jana mkuu, ila umenichekesha kweliSamahani dada, una mdogo wako wa kike aliye single? [emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliolewa mwaka jana mkuu, ila umenichekesha kweliSamahani dada, una mdogo wako wa kike aliye single? [emoji4][emoji4]
Ndo mana nataka nimrudie mke wangu
Ngoja moyo utulieEbu fanya ivo rafiki yangu[emoji4][emoji4]
Mama atarejesha nguvu za kiume,,😁😁Sio wewe tu. Wapo wengi tu lakin wamevunga kimya. Ila usijal ninavyoona mama anaenda uchumi utakuwa sawa soon.. halaf watashangaa vidume tunavimba Tena kitaa bila wasiwasi.
Pole mkuu,alishindwa hata kua na chembe kidogo ya huruma kwa watoto wake badala yake akaona huyo mchepuko ndo wa maana sana kwake,kajidhalilisha sana.Katika maisha yangu yote my first priority ni wanangu.. Nilipo wawepo.Na umesema bado ni wadogo.Hua naamini hakuna mtu mwenye upendo unaozidi ule wa wazazi.Nashukuru saana kwa ushauri hata hivyo Mungu mwema maana nilikua napitia mateso saana kwa huyu mwanamke Mungu ameniweka huru.
Kuhusu mke mwingine hapana wanangu ni wadogo saana
Huu uzi unazungumzia nguvu za kiume? Ficha ujinga wako..Mama atarejesha nguvu za kiume,,😁😁
Mbona unatoa povu kwani nguvu za kiume umeelewaje??Huu uzi unazungumzia nguvu za kiume? Ficha ujinga wako..
Kweli na kilichonishangaza anasema mbele ya mchungaji hanawasiwasi na watoto watabaki na baba yao .... Daaaah nimemshangaa ni Mama gani huyyuPole mkuu,alishindwa hata kua na chembe kidogo ya huruma kwa watoto wake badala yake akaona huyo mchepuko ndo wa maana sana kwake,kajidhalilisha sana.Katika maisha yangu yote my first priority ni wanangu.. Nilipo wawepo.Na umesema bado ni wadogo.Hua naamini hakuna mtu mwenye upendo unaozidi ule wa wazazi.
Nguvu za kiume zinahusiana vp na pesa? Mbona kuna watu wengi tu Wana pesa na hawana nguvu za kiume?Mbona unatoa povu kwani nguvu za kiume umeelewaje??
Mi nimemaanisha pesa
Jamaa unakichwa kigumu saana.... Nilichomaanisha mwanaume ukiwa huna hela kwa mwanamke wewe huna maana huna sauti ila ikiwepo unaonekana rijaliNguvu za kiume zinahusiana vp na pesa? Mbona kuna watu wengi tu Wana pesa na hawana nguvu za kiume?
ukubwa dawaAsalaam,
Ndoa yangu ilikuwa nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wana hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenithibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimethibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Bado unamtaka??Ndo mana nataka nimrudie mke wangu
Asalaam,
Ndoa yangu ilikuwa nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wana hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenithibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimethibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Fikiria Sana hilo Jambo, mwanamke Hana upendo wa kudumu isipokua kw a mwanawe tuuMistar ya miwili ya mwisho imenitafakarisha sana..[emoji848][emoji848][emoji848]
Hapana ninasikia kinyaa Sana juu yake nasema ivo kwakua sijazoea upwekeBado unamtaka??
naunga mkono hitimisho lako. acha ikae hivyoYap now I'm single father ambaye nachukia kitu kinaitwa mke
Matako makubwa yanaanzia kiasi gani ifi i mayI ask!!??Story imekamilika niliposoma jamaa alipenda matako makubwa [emoji28][emoji28][emoji28] wala haina haja ya mjadala mrefu wote tunajua akili za wanawake wenye matako makubwa sasa changanya na kufulia uone povu linatoka kwa kiwango gani [emoji28][emoji28][emoji28]
Tena uogopa sana Mke anae kwambia kila Mtu apambane na hali yake baada ya uchumi wako kuyumba,ujuwe kabisa mwenzio tayari ana ma sponsor kwenye vita yenu ya kiuchumi!!Kama ulikua hujui basi tambua kufunga ndoa kwa mwanaume sasa ni bonge la risk
Maana wanawake wengi kwa sasa hawana hisia za upendo na hata malezi yao ni mwendo wa kujazwa sumu juu ya wanaume mpaka wanapoolewa ndio maana huwezi kuta mwanamke anamsema positive mme wake in public
Kwa sababu wanaingia kwenye ndoa kama anaingia vitani sasa wewe unakuja kiamani lazima tu upigwe na akili zako za 90
sisi bachera huo mchezo tushausoma tangu zamani sana ndio maana tumequit ndoa
Yote kwa yote pole mkuu unachopitia ila zangati kwa sasa achana kusikiliza na kuangalia vitu vinavyohusiana na mapenzi ili ujiweke sawa kwanza