Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Sio wewe tu. Wapo wengi tu lakin wamevunga kimya. Ila usijal ninavyoona mama anaenda uchumi utakuwa sawa soon.. halaf watashangaa vidume tunavimba Tena kitaa bila wasiwasi.
Mama atarejesha nguvu za kiume,,😁😁
 
Nashukuru saana kwa ushauri hata hivyo Mungu mwema maana nilikua napitia mateso saana kwa huyu mwanamke Mungu ameniweka huru.

Kuhusu mke mwingine hapana wanangu ni wadogo saana
Pole mkuu,alishindwa hata kua na chembe kidogo ya huruma kwa watoto wake badala yake akaona huyo mchepuko ndo wa maana sana kwake,kajidhalilisha sana.Katika maisha yangu yote my first priority ni wanangu.. Nilipo wawepo.Na umesema bado ni wadogo.Hua naamini hakuna mtu mwenye upendo unaozidi ule wa wazazi.
 
Pole mkuu,alishindwa hata kua na chembe kidogo ya huruma kwa watoto wake badala yake akaona huyo mchepuko ndo wa maana sana kwake,kajidhalilisha sana.Katika maisha yangu yote my first priority ni wanangu.. Nilipo wawepo.Na umesema bado ni wadogo.Hua naamini hakuna mtu mwenye upendo unaozidi ule wa wazazi.
Kweli na kilichonishangaza anasema mbele ya mchungaji hanawasiwasi na watoto watabaki na baba yao .... Daaaah nimemshangaa ni Mama gani huyyu
 
Nguvu za kiume zinahusiana vp na pesa? Mbona kuna watu wengi tu Wana pesa na hawana nguvu za kiume?
Jamaa unakichwa kigumu saana.... Nilichomaanisha mwanaume ukiwa huna hela kwa mwanamke wewe huna maana huna sauti ila ikiwepo unaonekana rijali
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikuwa nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wana hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenithibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimethibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

ukubwa dawa
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikuwa nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wana hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenithibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimethibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu


Mistar ya miwili ya mwisho imenitafakarisha sana..[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Story imekamilika niliposoma jamaa alipenda matako makubwa [emoji28][emoji28][emoji28] wala haina haja ya mjadala mrefu wote tunajua akili za wanawake wenye matako makubwa sasa changanya na kufulia uone povu linatoka kwa kiwango gani [emoji28][emoji28][emoji28]
Matako makubwa yanaanzia kiasi gani ifi i mayI ask!!??
 
Kama ulikua hujui basi tambua kufunga ndoa kwa mwanaume sasa ni bonge la risk

Maana wanawake wengi kwa sasa hawana hisia za upendo na hata malezi yao ni mwendo wa kujazwa sumu juu ya wanaume mpaka wanapoolewa ndio maana huwezi kuta mwanamke anamsema positive mme wake in public

Kwa sababu wanaingia kwenye ndoa kama anaingia vitani sasa wewe unakuja kiamani lazima tu upigwe na akili zako za 90
sisi bachera huo mchezo tushausoma tangu zamani sana ndio maana tumequit ndoa

Yote kwa yote pole mkuu unachopitia ila zangati kwa sasa achana kusikiliza na kuangalia vitu vinavyohusiana na mapenzi ili ujiweke sawa kwanza
Tena uogopa sana Mke anae kwambia kila Mtu apambane na hali yake baada ya uchumi wako kuyumba,ujuwe kabisa mwenzio tayari ana ma sponsor kwenye vita yenu ya kiuchumi!!
 
We tulia ka na kutafuta hela huyo hana muda utashangaa anakuita baba, mungu yesu mpe muda tu.
 
Back
Top Bottom