Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhani Mkuu ,
Kuhusu maelezo ya kuwa na uraia wa mataifa mawili ya Tanzania na Marekani na kama nchi hiyo ina taarifa za marehemu huyo kuwekeza vitega uchumi vikubwa nchini humo, Bw. Salaiz, alisema mengi yamesemwa kuhusu Balali lakini nchi hiyo ilimfutia haki ya kuwa raia wa Marekani mwanzoni mwa mwaka huu na asingependa kuzungumzia masuala ya uwekezaji.
Nilishawai kusema kwamba Balali alikuwa raia wa nchi ya Marekani, wapo wengi sana waliobisha kwamba hakuwai kuwa raia wa US. Msemaji wa ubalozi anasema kwamba US ilimfutia uraia wa US, reason behind ni kwamba US wanakupa time ya wewe kukana uraia wako wa Tanzania sababu hatuna dual citizen, na usipofanya hivyo ni automatic revoke.
There is alot of staff behind the closet, believe the skeleton is too big to be hiden.
mkuu ungesoma vizuri ungeona sio kweli alivyonukuliwa na nipashe, ukweli ni visa sio uraia
Hivi kumbe kuna watu walikuwa hawajaamini, makubwa!!
Balali amefariki na mipango ya mazishi iko vile vile kama nilivyowahabarisha jana. Kitu ambacho naweza kukisema kwa uhakika wa asilimia 100 hadi sasa ni kuwa hakutakuwa na kuuangalia mwili. Familia na jamaa wa karibu waliuona mwili siku ya Jumanne usiku na kesho ni misa tu ya marehemu.
Mambo yote kesho DC mpaka kieleweke!
According to the dataz, ni kwamba hawa watu wa ubalozi, wamekuwa wakiwalilia familia ya marehemu ili nao waweze kuhudhuria mazishi kesho, lakini nasikia familia wamewakea ngumu mpaka dakika hii, sasa hapa wanasema nini? Ni bora wanyamaze tu!
Na wasiruhusiwe kwenda huko kwenye mazishi kabisaa!