Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Nipe mkeka wa mechi mbili za leo.
Mbona kubet rahisi tuu sema watu tamaa.
Mechi zako mbili au tatu tia mpunga tulia zako
Jana ilikuwa yanga ashinde na magoli mawili.
Spurs wolves gg
Man city o1.5 unatia million leo ulikuwa na laki 8
Uhakika sana mkuu SEMA Wana wanaweka timu kibao alafu wanatia buku kwahiyo Hela inakuwa ndogo mtu anaona ngoja aongeze timu ili Hela iongezeke mwisho ndo inakuwa lawamaNipe mkeka wa mechi mbili za leo.
Mbona kubet rahisi tuu sema watu tamaa.
Mechi zako mbili au tatu tia mpunga tulia zako
Jana ilikuwa yanga ashinde na magoli mawili.
Spurs wolves gg
Man city o1.5 unatia million leo ulikuwa na laki 8
Hata huyu anaweza asifike pasakaSijui kwanini mtu anayebeti mara ya kwanza lazima ashinde, hata aweke zombi lenye odds 6.00. Mimi mara ya kwanza nakumbuka nilimpa crystal palace alikuwa na odds 8 dhidi ya man city na akashinda. Jamaa aliyenifundisha namna ya kubeti naye alisuka mkeka wake akampa man city ndo aliyemchania peke yake, jamaa akaja kuniuliza nilifikiria nini kumpa crystal palace? Mimi mwenyew sielewi. kilichofuata mpaka sasa... nitaandika uzi wake kabisa maana ni stori ndefu 😂😂😂
Walamba asali..hii nilishakimbia aseKuna AVIATOR pia mkuu. Karibu
Siriya beting na mzigo tuu...mchezo wa matajiri kila leo utakuwa unakula.Uhakika sana mkuu SEMA Wana wanaweka timu kibao alafu wanatia buku kwahiyo Hela inakuwa ndogo mtu anaona ngoja aongeze timu ili Hela iongezeke mwisho ndo inakuwa lawama
Sio upepo wee jaribu. Weka timu mbili tuu alafu weka mzigo wa maanaHaHaha unamjaza upepo
Kwa nilichokigundua watu wengi wanaofanya betting wanatumia hisia kuliko uhalisia unakuta mechi Kama ya Jana mtu anakwambia man city saivi kaisha hatoboi Anyway muda sio mrefu naweka mkeka wa timu tatu wa Leo naomalizia KUBET kwa mwenye Imani au copyHata huyu anaweza asifike pasaka
Aviator hapana simshauri mtu acheze aviatorKuna AVIATOR pia mkuu. Karibu
Jamaa unaona anaweka buku tano anashinda 10k.Kazi nzuri mkuu, betting ni rahisi kinachotuponza ni tamaa.
Kwani wanasema kumla mhindi? Kwani Betting zote ni za wahindi? Au wahindi wanapanga matokeo?Ngoja nikushauri kidogo.....
KUMLA MUHINDI NI KAMA KUMLA MAMA YAKO YAANI PROBABILITY NI 0%
Hiyo hela ulipewa au uliokota, pili hujui kubeti kwahyo tuliaKama nimeweza kupata hiyo pesa ya kuweka basi akili ninayo ndiyo maana nimepata hiyo pesa mpaka ya kubet
Kwani wanasema kumla mhindi? Kwani Betting zote ni za wahindi? Au wahindi wanapanga matokeo?Mkuu kwenye betting industry neno MHINDI ni general term ya betting companies
Assumptions.... Nimebet na betpawa huko huko sana basket kwa zaidi ya mwaka. Nimekula sana ila ikafika muda nikawa nachoma mikeka. Wanasema stake what you are ready to lose, nilipovuka huo mstari nikaacha betting huu ni mwaka nne.Hiyo hela ulipewa au uliokota, pili hujui kubeti kwahyo tulia
Betting unakula kidogo at the end wewe ndip utapoteza tu.Assumptions.... Nimebet na betpawa huko huko sana basket kwa zaidi ya mwaka. Nimekula sana ila ikafika muda nikawa nachoma mikeka. Wanasema stake what you are ready to lose, nilipovuka huo mstari nikaacha betting huu ni mwaka nne.
Umebeti kwa mwaka mmoja tu bado mtoto mchanga kwenye kubeti wewe;Assumptions.... Nimebet na betpawa huko huko sana basket kwa zaidi ya mwaka. Nimekula sana ila ikafika muda nikawa nachoma mikeka. Wanasema stake what you are ready to lose, nilipovuka huo mstari nikaacha betting huu ni mwaka nne.