Hatimaye nimekuwa Luteni Usu leo

Wanjeshi wa bongo siku hizi wamekosa kazi mpaka wanapiga wananchi. Huko kambini inaelekea wao ni drafti kama ilivvyotokea kule congo 11 wakapotea

SA hata polisi aruhusiwi kukushika shati..
 

Kaka watanzania tuna roho mbaya sana sasa jamaa kosa lake ni lipi kushukur yupo tayr kulitumikia taifa mtu anakuja juu na hasira zake sijui utafukuzwa kazi yaani africa aloyeturoga na roho zet mbaya ambazo ukiona mtu kafanikiwa unawashwa mpka makaliona ko wao hawana haki ya kujoin na public ndani ya mitandao broo taft pesa maisha yaa unafiki na roho mbaya hayakufanyi uwe na maisha bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…