Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

Mie tenaa harusi ya udugu wangu nisikupambeeee, yaan mbna wakweooo watasemaa alaaaah kijana wetu kapata mke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi
Smart na mahondaw waliishia wapi?
Mshana na demis je
na yule mwenye Sweta la Tanzania je?

Ukipata jibu utajituliza

Mashangazi upande wa mume nimewakosea nini lakini [emoji1787][emoji1787] Subirini harusi ipite kwanza ndio mnichambe
 

Mbona wanga wengi hivi tutatoboa kweli [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…