miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
-
- #241
Inabidi G sasa anioe.Acha kuremba mwandiko humu, mwaka unapita sasa, anza kumtengenezea familia. ...
( sisi wanaume mama yetu ni mmoja.) ..akili zetu tunazijua wenyewe.
Pin those few words on the brackets.
Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
Makopa yananizunguka kichwani nnaposoma haya, kumbe na mm ipo sku ntachekaAmina dada, yaani ukiniona sasa hivi ninavyowaka heshima ninayopewa hatariiiiii, wale wote waliokuwa kando na walionipa matusi na kejeli wanajirudisha ila nimewaweka kando.
G baba "miminimama" nakupenda sana.
Sawa ndugu naiwe hivoShetani kwetu hana nafasi.
Hii dunia inamaajabu sana lolote linaweza kutokea kwamtu yeyoteMakopa yananizunguka kichwani nnaposoma haya, kumbe na mm ipo sku ntacheka
Okay sawaNdiyo yupo humu.
Ninampenda roho yangu, ukinikata kifuani unamkuta amekaa.Maandishi ya Miminimama yamejaa feelings nzito sana
π Pokea sifa..G wa watuNipo hapa
Kwa aliyokutendea ana haki kupendwaNinampenda roho yangu, ukinikata kifuani unamkuta amekaa.
Yeah IPO siku utacheka....ila stopisha Gauge isiendelee kusoma ili kuvutia wataliimakopa yananizunguka kichwani nnaposoma haya, kumbe na mm ipo sku ntacheka
Nshaipause mdaYeah IPO siku utacheka....ila stopisha Gauge isiendelee kusoma ili kuvutia watalii
Ninakupenda kufa G wangu, penzi lako tamu tamu zaidi ya asali
Endelea kufurahia maisha ya ndoa kwa kupeana haki zake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa dozi ninayopewa hata nguvu na house boy inatoka wap?
Mimi na G.
G na mimi.
Mbona hajaja kulike?π π π π π
Kwani wewe hunipendi?Ukiona mwanamke anakupenda lazima kuna sababu, hapa nimependwa kwa sababu ya kumsaidia malezi ya mtoto wake na kumlindia heshima kama singo mama ambaye alishajikatia tamaa⦠hakutarajia haya.
π π π π π Atakuja kulike atalike na hiyo yako piaMbona hajaja kulike?
Hatuachani, ananipenda ninampenda.Nasema mtaachana TU![emoji276]
Sina hiyo nafasi.Basi hivi viumbe huwa navielewa, baada ya hapo Ataanza mawasiliano na baba wa mtoto wake na atacheat au atapata na mchepuko huko nje.