Hatimaye nimerudiana na mpenzi tulieachana naye

Jina la kitabu tafadhali.
 
Unapigwa upepo wa eisii kidogo huku mambo mengine yakiendelea πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
eisii wapi mkuu,,nipo na hili jua hadi linazama huku nikifyatua tufali taratiiiibu 😊😊apa npo napata ugali maharage nirud mzigoni
 
eisii wapi mkuu,,nipo na hili jua hadi linazama huku nikifyatua tufali taratiiiibu 😊😊apa npo napata ugali maharage nirud mzigoni
mtoto laini utafanyaje kazi nzito hizo? πŸ˜€ πŸ˜€
 
Hakika Vijana mnafaidi πŸ™Œ

Ila kuwa makini Exy wengi huwa ni chanzo cha maradhi unless mlipima kabla hamjaendelea na hiyo shoo shoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…